Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Lucas Mwashambwa anakubzoomChaliifrancisco ninunulie gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas Mwashambwa anakubzoomChaliifrancisco ninunulie gari
Unaweza sema spacio😀Hako kagari nakatumia sana Johannesburg kwa safari za ndani mafuta hata sijutii kwa umbali wowote...View attachment 3064896
Mkongwe, mkongwe.. Huko kwa marehemu mandela alphard hybrid ya miaka 2015 hivi zimesimamaje?Hiyo gari ndio IST ya Botswana wanaielewa kuliko maelezo peleka gari yeyote ile hawataielewa zaidi ya hiyo mpaka huko Pandamatenga nimeona wadogo wakifata Durban hizo gari ni kweli ni gari nzuri na mafuta inatumia kidogo kuliko gari nyingi ndogo na pia ina balance na comfort pia imo...
Kamesimamaje huko?Hako kagari nakatumia sana Johannesburg kwa safari za ndani mafuta hata sijutii kwa umbali wowote...View attachment 3064896
Kanapatikana kwa rand 60,000 na kuendelea kutokana na model yake kwa automatic ingawaje vingi vipo manual..Kamesimamaje huko?
Ni kama milioni 8 na chenji chenji, tufanye 9 kabisa, kwa kuwa ni kutoka mwanachama wa SADC, TRA wanaweza kukamua kama kiasi gani?Kanapatikana kwa rand 60,000 na kuendelea kutokana na model yake kwa automatic ingawaje vingi vipo manual..
TRA wameamua wao kuchukua Kodi bila kujali vitu vinatoka sadc wao wanataka gari mpya tu sio kwa used hata hiyo Sadc inaonekana ni Uhuni tu kama vitu ndani ya hii Sadc tunalipa kodi kubwa haina maana..Ni kama milioni 8 na chenji chenji, tufanye 9 kabisa, kwa kuwa ni kutoka mwanachama wa SADC, TRA wanaweza kukamua kama kiasi gani?
Basi yangenikuta makubwa, nilikuwa najivuta vuta, mfuko utune niruke huko niisake alphard hybrid, nikijua kodi itakuwa kitonga..TRA wameamua wao kuchukua Kodi bila kujali vitu vinatoka sadc wao wanataka gari mpya tu sio kwa used hata hiyo Sadc inaonekana ni Uhuni tu kama vitu ndani ya hii Sadc tunalipa kodi kubwa haina maana..
Upo sahihi.. Navionaga ata IT vingi pamoja na Aqua.Hiyo gari ndio IST ya Botswana wanaielewa kuliko maelezo peleka gari yeyote ile hawataielewa zaidi ya hiyo mpaka huko Pandamatenga nimeona wadogo wakifata Durban hizo gari ni kweli ni gari nzuri na mafuta inatumia kidogo kuliko gari nyingi ndogo na pia ina balance na comfort pia imo...
Shukrani mkuu kwa experience.Honda Fit Ni gari Nzuri na ngumu mno, tofauti na Toyota IST au vitz... Mi nina miliki ya 2010 ya kawaida sio hybrid. Full tank Ni lita 32 tu unatembea zaidi ya km 500.
Tangu niwe nayo mwaka wa 3 sijawahi kupata shida yoyote zaidi ya service za kawaida za oil.
Ni nzuri kwa town trip au zile safari fupi fupi. Mapungufu niliyoyaona ni kwa safari ndefu (nilisafiri nacho zaidi ya km 650) ni kuwa siti zake zinaumiza sana mgongo. Kuna siku pia nilisafiri umbali wa KM 200 kwenda kurudi, mgongo pia ukawa uunauma.
Labda hilo tatizo la siti wamerekebisha kwenye hizo za 2014-2017 otherwise Honda Fit is the best vehicle.