Honda Fit ni kagari kazuri nje na ndani, bei rafiki, mafuta kananusa, lakini watu hawakanunui. Kwanini?

Honda Fit ni kagari kazuri nje na ndani, bei rafiki, mafuta kananusa, lakini watu hawakanunui. Kwanini?

Hiyo gari ndio IST ya Botswana wanaielewa kuliko maelezo peleka gari yeyote ile hawataielewa zaidi ya hiyo mpaka huko Pandamatenga nimeona wadogo wakifata Durban hizo gari ni kweli ni gari nzuri na mafuta inatumia kidogo kuliko gari nyingi ndogo na pia ina balance na comfort pia imo...
Mkongwe, mkongwe.. Huko kwa marehemu mandela alphard hybrid ya miaka 2015 hivi zimesimamaje?
 
Ni kama milioni 8 na chenji chenji, tufanye 9 kabisa, kwa kuwa ni kutoka mwanachama wa SADC, TRA wanaweza kukamua kama kiasi gani?
TRA wameamua wao kuchukua Kodi bila kujali vitu vinatoka sadc wao wanataka gari mpya tu sio kwa used hata hiyo Sadc inaonekana ni Uhuni tu kama vitu ndani ya hii Sadc tunalipa kodi kubwa haina maana..
 
TRA wameamua wao kuchukua Kodi bila kujali vitu vinatoka sadc wao wanataka gari mpya tu sio kwa used hata hiyo Sadc inaonekana ni Uhuni tu kama vitu ndani ya hii Sadc tunalipa kodi kubwa haina maana..
Basi yangenikuta makubwa, nilikuwa najivuta vuta, mfuko utune niruke huko niisake alphard hybrid, nikijua kodi itakuwa kitonga..
 
Hiyo gari ndio IST ya Botswana wanaielewa kuliko maelezo peleka gari yeyote ile hawataielewa zaidi ya hiyo mpaka huko Pandamatenga nimeona wadogo wakifata Durban hizo gari ni kweli ni gari nzuri na mafuta inatumia kidogo kuliko gari nyingi ndogo na pia ina balance na comfort pia imo...
Upo sahihi.. Navionaga ata IT vingi pamoja na Aqua.
 
Honda Fit Ni gari Nzuri na ngumu mno, tofauti na Toyota IST au vitz... Mi nina miliki ya 2010 ya kawaida sio hybrid. Full tank Ni lita 32 tu unatembea zaidi ya km 500.
Tangu niwe nayo mwaka wa 3 sijawahi kupata shida yoyote zaidi ya service za kawaida za oil.
Ni nzuri kwa town trip au zile safari fupi fupi. Mapungufu niliyoyaona ni kwa safari ndefu (nilisafiri nacho zaidi ya km 650) ni kuwa siti zake zinaumiza sana mgongo. Kuna siku pia nilisafiri umbali wa KM 200 kwenda kurudi, mgongo pia ukawa uunauma.
Labda hilo tatizo la siti wamerekebisha kwenye hizo za 2014-2017 otherwise Honda Fit is the best vehicle.
Shukrani mkuu kwa experience.

Moja ya gari inayopendwa sana hii Fit.
 
"Technology yake ya hybrid kidogo iko complicated sio kama ya Toyota, ila ni kongwe na nzuri na ndio unaipata kwa Honda Vezel na Grace"

Hapa ndio kwenye uchawi wenyewe mkuu
 
Ni kagari kazuri mpaka siku utakapopiga mzinga taa ya nyuma au mbele, utazunguka dar yote na usipate replacement😀 utaambiwa mpala uagize Nairobi au SA, bado ukitaka kuuza hayanunuliki kirahisi kama wenzake kina Vitz,IST, Raum n.k
 
Back
Top Bottom