Honda Fit ni kagari kazuri nje na ndani, bei rafiki, mafuta kananusa, lakini watu hawakanunui. Kwanini?

kweli kila mtu na namna anavyoina kitu haka kagari hata sikaangalii mara mbili ukichanganya na wenzake passo vitz ist glanza na viuchafu vingine vidogo dogo vinavyosifika kwa kutokula mafuta..... unaendesha gari kama karatasi dah kwangu hapana
 
Ndoa yao ilidumu miaka karibu 15 nadhani sasa hivi Mazda wapo na Toyota pana parts zilikua zinaingilia kwa mazda na Ford na pia zipo Nozel unafunga mazda na Ford kwa gari za diesel..vile vi Bantam na madza za kizamani vilikua sawa vitu vingi..
ok mkuu nimeelewa nilikuwa silijui hilo kabisa.
 
Dadeki wabongo ni zaidi ya wehu, Kodi inazidi bei ya gari, pumbaf kabisa
Yani Bongo kuna udalali wa kufa mtu, sasa sipati picha kama hayo magari tungekuwa tunayatengeneza Sisi tungetoza VAT kiasi gani kama kuyapokea tu tunatoza Kodi kubwa kiasi hicho
 
Gari inayotrend sasa hivi bongo ni Mazda cx-5, na imekaa fresh sana nimekaa nayo siku nzima imetulia sana,, gari ambazo hazinunuliki kwa sasa hivi ni dualis na jike kidogo na rumion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…