specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
ok,nashukuru lakini linaweza kulamba masafa marefu?
nunua ndugu yangu kuliuza utapata wakulinunua kama wewe ulivonunua kwa mapenzi
haya rubii,ninachohitaji nikujua linaweza kusafiri umbali mrefu kama dsm to Nairobi au Dsm to mbeya?
Nimeipenda hii gari aise dah
Mkuu ulizia kingine na siyo swala la masafa marefu, enzi hizi magari yote yanakwenda masafa marefu vinginevyo hilo gari liwe bovu kwenye cooling system. Bajaj yenyewe inasafiri masafa marefu, itakuwa gari!