specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Salaam ndugu zangu.
Naomba kuulizia uwezo wa hii gari katika kusafiri masafa ya mbali maana nimevutiwa na ulaji wa mafuta(1.6L ingine size) pia bei yake si mbaya (mfano gari ya mwaka 2000 inauzwa kwa FOB -2000 USD.) Zaidi ina umbo/size kubwa ukilinganisha na magari mengine yenye ingine size hiyo(1.6L).
Zaidi naomba nijuzwe upatikanaji wa spare za hii gari na bei ya hizo spare zake.....
Nashukuru na Karibuni.
Naomba kuulizia uwezo wa hii gari katika kusafiri masafa ya mbali maana nimevutiwa na ulaji wa mafuta(1.6L ingine size) pia bei yake si mbaya (mfano gari ya mwaka 2000 inauzwa kwa FOB -2000 USD.) Zaidi ina umbo/size kubwa ukilinganisha na magari mengine yenye ingine size hiyo(1.6L).
Zaidi naomba nijuzwe upatikanaji wa spare za hii gari na bei ya hizo spare zake.....
Nashukuru na Karibuni.