Honda na Nissan zaungana

Honda na Nissan zaungana

Hivi huku Tanzania tumejiandaje na magari ya umeme kwakuwa naona mwitikio ni mdogo sana hadi Uganda wametupita wanatengeneza mabasi yanayotumia umeme. Kama hatujajiandaa na magari tuanze hata na pikipiki basi kama Kenya wanavyofanya.
 
Hiyo itakuwa ngumu sana inabidi Honda itafute soko kwanza huku Afrika kwakuwa waafrika wengi kwamfano huku Tz wanatumia Toyota hivyo inabidi Honda waanze kuingiza magari ya umeme huku Afrika kabla ya Toyota hawajaanza.
Huku mnakonunua magari ya mitumba? Acheni utani. Asilimia 99 ya magari yanayotembea hapa bongo ni mitumba, nani atakufikiria. Wenzenu wanalenga kwao Japan, Ulaya na Marekani
 
Toyota anajua kucheza na upepo. Japo kuungana kwa hao malegend huenda wanaplan ya kumpoteza Toyota kweny raman haitakua rahisi unless Mazda au Hyundai watakua kwenye hiyo plan
Itategemea kama Hyundai na Mazda watatoa magari ya EV yenye ubora wa hali ya juu kushinda Toyota.
 
Si ndio. na lengo la kuungana ni kumwangusha toyota

Sidhani Kama hilo ni lengo. Mama .. ikitokea hivyi itakuwa ni matokeo ya wao kuweza kuja na product nzuri sokoni maana ili uwe juu ni kuwa na product nzuri sokoni hakuna maajabu mengine.. hata toyota anaendelea kuwekeza na kujaribu kuwekeza ili aendelee kushikilia soko ... biashara ya magari miaka Ya karibuni imekuwa na changamoto kampuni zinajaribu kuja na plan zitakazowasaidia kufanikiwa

Sio mara ya kwanza. Kampuni kuungana cetron alimerge na Peugot wakaunda kampuni inatwa PSA na miaka kadhaa nyuma Jeep, chrysler, renault , Fiat, Peagout, na zingine nyingi wameungana kuanzisha kampuni moja inaitwa Stellantis

Kampuni wanapoungana factors zinakuwa nyingi chache ni hiz hapa chini.

Moja ku share cost za utengenezaji magari hasa kwenye swala la research na uwekezaji kwenye teknolojia mpya.. kampuni A iliwa imeshafabya research ya teknolojia flan ila uwekezaji unahitaj
Pesa nyingi wanaweza kumerge na kampuni B yenyewe ikatoa fungu

Mbili kuongeza base ya wateja kwa maana mtashare showrooms na miundo mbinu yenu

Mara nyingi hizi merger zinakuwa na life span mfano unaweza kumerge kwa 10 au 20 yrs au ikawa ndio moja kwa moja Huyo toyota mwenyewe alishamerge na General motors ya US mwaka 1984 alifanya hivyo pia na Holden ya Australia

Kampuni za magari zinamuingiliano kuliko unavyofikiri ndio maana unaweza ukakuta gari moja inakuwa branded na kampuni mbili Tofauti hii inaitwa "rebadge" pia kuna kitu kinaitwa "platform shairing" hii unawwza kukuta Engine ya brand moja inatumika kwenye brand ingine "IT IS A NORMAL PRACTISE" kwenye car industry

Mfano toyota glanza ile ni rebadge ya maruti belano, toyota urban cruiser ni Suzuki vitara, toyota Rumion ni Maruti Ertiga. Toyota anafanya kazi sana na suzuki anachukua gari zao na kuzi rebadge zinaingia sokon kama
toyota ila inakuwa na makubaliano ni soko gani wauze
 
Sidhani Kama hilo ni lengo.. biashara ya magari miaka Ya karibuni imekuwa na changamoto kampuni zinajaribu kuja na plan zitakazowasaidia kufanikiwa

Sio mara ya kwanza. Kampuni kuungana cetron alimerge na Peugot wakaunda kampuni inatwa PSA na miaka kadhaa nyuma Jeep, chrysler, renault , Fiat, Peagout, na zingine nyingi wameungana kuanzisha kampuni moja inaitwa Stellantis

Kampuni wanapoungana factors zinakuwa nyingi chache ni hiz hapa chini.

Moja ku share cost za utengenezaji magari hasa kwenye swala la research na uwekezaji kwenye teknolojia mpya.. kampuni A iliwa imeshafabya research ya teknolojia flan ila uwekezaji unahitaj
Pesa nyingi wanaweza kumerge na kampuni B yenyewe ikatoa fungu

Mbili kuongeza base ya wateja kwa maana mtashare showrooms na miundo mbinu yenu

Mara nyingi hizi merger zinakuwa na life span mfano unaweza kumerge kwa 10 au 20 yrs au ikawa ndio moja kwa moja Huyo toyota mwenyewe alishamerge na General motors ya US mwaka 1984 alifanya hivyo pia na Holden ya Australia

Kampuni za magari zinamuingiliano kuliko unavyofikiri ndio maana unaweza ukakuta gari moja inakuwa branded na kampuni mbili Tofauti hii inaitwa "rebadge" pia kuna kitu kinaitwa "platform shairing" hii unawwza kukuta Engine ya brand moja inatumika kwenye brand ingine "IT IS A NORMAL PRACTISE" kwenye car industry

Mfano toyota glanza ile ni rebadge ya maruti belano, toyota urban cruiser ni Suzuki vitara, toyota Rumion ni Maruti Ertiga. Toyota anafanya kazi sana na suzuki anachukua gari zao na kuzi rebadge zinaingia sokon kama
toyota ila inakuwa na makubaliano ni soko gani wauze
Umedadavua Vyema. Labda uko Sahihi au nipo Sahihi.

Mwaka 23 Toyota alifunga faida zaidi ya 30B USD kwa kuuza magari zaidi ya 2+M hii ni dhahiri miaka ya mbele hao magiant walioungana wanaweza wasiwe kwenye ramani kama "Motorola"
& huenda ndo Sababu ya kuchukua pre caution kwa kuungana ili kutengeneza magari yatakayo ingia kwenye competition na Toyota .

Miaka ya recently Toyota ameongeza nguvu kutengeneza magari yanayo endana na watu wenye uchumi wa chini kwa effort kubwa zaidi ya corp yoyote tho hii ilikua ni clear sign ya downfall ya hao magiant walioungana kama wasingeungana, Perhaps.
 
Umedadavua Vyema. Labda uko Sahihi au nipo Sahihi.

Mwaka 23 Toyota alifunga faida zaidi ya 30B USD kwa kuuza magari zaidi ya 2+M hii ni dhahiri miaka ya mbele hao magiant walioungana wanaweza wasiwe kwenye ramani kama "Motorola"
& huenda ndo Sababu ya kuchukua pre caution kwa kuungana ili kutengeneza magari yatakayo ingia kwenye competition na Toyota .

Miaka ya recently Toyota ameongeza nguvu kutengeneza magari yanayo endana na watu wenye uchumi wa chini kwa effort kubwa zaidi ya corp yoyote tho hii ilikua ni clear sign ya downfall ya hao magiant walioungana kama wasingeungana, Perhaps.
Yes sahihi kabisa ndio maana nikasema kuwa ni swala la kujua jinsi ya kucheza karata ndo maana nikaandika kuwa hata toyota wakiona kuna unafuu wa gharama na uwezekano wa kupiga pesa kupitia merging au kutumia "enginereing design" ya brand zingine anafanya hivyo.. mfano sasa hivi china anasumbua industry ya magari sababu ya uwezo wao wa kutengeneza gari kwa gharama nafuu na nguvu kazi .. hasa kwenye EV.. so kampuni badala ya kampuni za nje zimeamua kuingia JV na local companies za china ili kupush brand zao mfano FAW MOTORS (FAW) ya china ana JV na toyota wanatengeneza corrola Models na kuziuza china na masoko jiran kupitia FAW TOYOTA MOTORS LTD pia at the same time hao hao FAW wana JV na Audi, Mazda na VW pia kutengeneza baadhi ya Model ya gari zao kuziuza kwenye soko la china

Huku kwenye EV, kampuni ya BYD amekimbiza sana na EV zake kamzidi hadi tesla.. Toyota akaona kwenye EV sio tu uwekezaji mkubwa bali na mda pia so kaamua kuingia joint na BYD kwenye EV hii inamanisha nini inamaanisha kuwa BYD tayar ana miziz kwenye EV so Toyota hana haja ya kuwekeza kwenye research na mda ili aje na vya kwake simply anaweka proposal mezani kwa BYD kuwa yeye BYD atanufaika kutumia platform ya Toyota worldwide kwa kujitanua kuuza gari zake EV huku. Huku Toyota akinufaika na well proven teknoloji ya EV za BYD na wataanza kutoa EV za toyota ambazo simply ni rebadged BYD EV kisha toyota wanaanza kuzisukuma kwenye masoko yake mfano afrika kama Toyota EV

Maana yake Hautakuja kukuta BYD EV zikauzwa Afrika kama BYD ila ni kama Toyota
 
Toyota anajua kucheza na upepo. Japo kuungana kwa hao malegend huenda wanaplan ya kumpoteza Toyota kweny raman haitakua rahisi unless Mazda au Hyundai watakua kwenye hiyo plan
Kwa soko la tz na Africa ni ngumu sana kumpoteza toyota, tayari amejikita mizizi kwa zaidi ya miaka 20 ijayo bado tutakuwa na circle ya magari ambayo yamekuwa imported muda huu. Mazda anafanya vizuri ila simuoni akimtikisa toyota.
 
Hiyo itakuwa ngumu sana inabidi Honda itafute soko kwanza huku Afrika kwakuwa waafrika wengi kwamfano huku Tz wanatumia Toyota hivyo inabidi Honda waanze kuingiza magari ya umeme huku Afrika kabla ya Toyota hawajaanza.
Waafrika hawana hela. Honda ana jina zuri sana nchi kama US
 
Back
Top Bottom