Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Hahaha I love JF jamani kuna watu wako smart humu ndani duh nikweli nilimefanya kila njia nimesali sana nikaamua nimsamehe na nikamuomba tukae chini tuyaongee ili tutengeneze ya yeye aniambie yanayo muuzi niyaache na mie nimwambie yanayoniuzi ayaache ila imeshindikana ni kweli anaomba msamaha lakini habadiliki jamani nimeamua kubwaga manyanga nadhani na,mimi ni wakati sasa niwe na maisha ya amani kama Mungu akinipa kibali ndo nnachotamani waungwana
Very Good.. Mpendwa nisamehe kwa kuwa serious na hii thread yako, kwa kuwa ina funzo kubwa ambalo kwa namna moja ama nyingine inaweza ikaponya wengi humu, na Maisha nikusaidia kwa vitu vingi likiwepo la kupeana ushauri wa kujenga kwa wale wanaotakia mema wenzio. Mimi ni mmojawapo nisiyependa mtu aumie au asononeke mbele yangu ilihali nina uwezo wa kuongea neno moja tu na likaweza kutibu.
Mpendwa, Kwa umri wako hakika una haki ya kufanya chochote ilimradi kikupe amani na Furaha ya Moyoni. na Ni kweli kuwa inafika mahala unatamani uwe ni mtu wa furaha muda wote.
Sasa Lini umeamua kubwanga Manyanga kiujumla? Je wewe unatafsiri nini Juu ya Msamaha kwenye Mahusiano?
Mungu akubariki na tuendelee kufunzana mwisho tutafika tuendako. Relationship has got no Formula Japo mimi naamini Kila Kitokeacho kinatokana na three Newtons Laws of Motions hasa ile ya Tatu inayosema.
''To every action there is equal and oposite Reactions''
Karibu Mpendwa.