Hongera Azam FC, Simba SC bado mbovu na Yanga SC bingwa tena

Kwani si tulikubaliana kuwa Yanga ni baskeli ya miti vile. Wao tunawaacha waongoze ligi mzunguko wa kwanza baada ya hapo wanakata upepo. Sisi wenye kombe letu tunakuja mzunguko wa pili.
 
Huyo akaminko ni mtu anautwanga sana
Akita yanga itakuwa poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…