Hongera Benki ya CRDB

Hongera Benki ya CRDB

Wewe mleta mada ni 'Manara' wa crdb.

Kati ya bank za hovyo hii bank ni mojawapo. Customer care kwao ni sifuri kabisa.
Customer care inategemea na tawi! mlimani city wapo vizuri. Nadhani nitafanya survey kwenye matawi mengine pia. Hivyo nitakuwa na nafasi ya kuchangia vema. Kwa sasa itoshe kusema ni benki nzuri.
 
Tatizo la CRDB ni 80% ya watumishi wake ni Nkya, Mushi, Mrosso, Tarimo, Kimaro, Urassa, Urio and the like.

Mojawapo ya legacy mbovu ya Kimei ndio hiyo, huwezi kuajiri 80% ya wafanyakazi kwa hoja za ukabila eti ni kabila lako.
Hahaha . . . Kila mtu anasema hivi. Inawezekana kuna ukweli na hili jambo
 
Nimetoa mada ya kupongeza ,baadhi ya wachangiaji wamenirushia madongo .Tuwe critical thinkers. Tuchambue kwa tafiti na kusoma kama hapa tulitakiwa tupitie financial reports za CRDB dhidi ya Bank hizo nyingine.
 
CRDB ni benki ya hovyo na hivi ninavyoongea nimeagiza hisa zangu ziuzwe ,sitaki tena.Benki ambayo haiwezi kutoa taarifa sahihi kwa wateja wake hiyo ni benki gani? CRDB ukiomba mkopo kuupata ni kudra za mwenyezi mungu.Kuna upumbavu mwingi crdb na akaunti naenda kuifunga.
Mi mwenyewe ninakusudia kuuhamishia mshahara wangu ulipiwe kupitia benki nyingine sio hii,crdb ya sasa sio ile aliyoiacha Kimei.

Huwezi amini barua ya kusitisha makato tu na mkopo umeshawalipa inaweza kuchukua hata wiki,ni warasimu sana.Wamekuwa hawana tofauti na Halmashauri
 
Mojawapo ya taasisi nchini inayofanya vizuri kutokana na uongozi ni CRDB tokea ilipoanzishwa imekuwa na mafanikio makubwa na haswa kipindi ikiwa chini ya uongozi wa ndg kimei hadi Sasa ikiwa chini ya ndg Nsekeka.

Hii ni changamoto kwa taasisi nyingine katika sekta za kuhudumia wananchi ziige hii ya CRDB. Sina haja ya kutaja hizo taasisi wengi tunazijua na wenyewe wanajijua.

Hongera CRDB
...Mkuu, Unaijua kweli CRDB? Pongezi zako Kwake hasa ni kuhusu Maeneo yepi??? Tuanzie hapo...
 
Tatizo la CRDB ni 80% ya watumishi wake ni Nkya, Mushi, Mrosso, Tarimo, Kimaro, Urassa, Urio and the like.

Mojawapo ya legacy mbovu ya Kimei ndio hiyo, huwezi kuajiri 80% ya wafanyakazi kwa hoja za ukabila eti ni kabila lako.
Md mpya hana mkakati wa kuwapunguza hawa majituu?
 
Back
Top Bottom