Hongera Bi Nenelwa Muhambwi kuteuliwa kuwa Katibu wa Bunge, katende haki!

Hongera Bi Nenelwa Muhambwi kuteuliwa kuwa Katibu wa Bunge, katende haki!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Binafsi nampongeza sana bi Nenelwa Muhambwi kwa kuteuliwa kuwa Katibu wa bunge la JMT.

Katibu wa bunge ndio kiungo muhimu kati ya bunge na serikali tuna imani utakwenda kutenda haki.

Kadhalika utawakuta wale wabunge 19 wa Chadema ambao ubunge wao una utata, Tafadhali kamshauri ipasavyo mh Spika kwa sababu kwa jinsia huwezi kupendelea kuwa na maslahi binafsi.

Eid Mubarak!
 
Kazi ya Katibu wa bunge ni ipi?
 
Kwa nini katibu wa bunge anateuliwa na Rais badala ya spika wa bunge?
 
Kazi ya Katibu wa bunge ni ipi?

Huyu ndio mkuu halisi wa bunge. Huyo ndio muwakilishi wa serikali/rais bungeni. Yeye ndio mratibu wa shughuli zote za bunge, ikiwemo, miswada na hoja mbalimbali. Akigomea chochote hakijadiliwi bungeni. Huyu hutumika na rais kulidhibiti bunge.
 
Kadhalika utawakuta wale wabunge 19 wa Chadema ambao ubunge wao una utata, Tafadhali kamshauri ipasavyo mh Spika kwa sababu kwa jinsia huwezi kupendelea kuwa na maslahi binafsi.
Sio kazi ya katibu wa binge hiyo
 
Kwa nini Nyerere alitufanyia hivi!!!
Huyu ndio mkuu halisi wa bunge. Huyo ndio muwakilishi wa serikali/rais bungeni. Yeye ndio mratibu wa shughuli zote za bunge, ikiwemo, miswada na hoja mbalimbali. Akigomea chochote hakijadiliwi bungeni. Huyu hutumika na rais kulidhibiti bunge.
 
Kwa hiyo Rais anateua Watendaji wakuu wa Serikali, Bunge na Mahakama?!
Rais kama mkuu wa nchi ndiye mteuzi mkuu!

Rais kama mwenyekiti wa CCM ndiye mteuzi wa Spika wa bunge indirectly!
 
Huyu ndio mkuu halisi wa bunge. Huyo ndio muwakilishi wa serikali/rais bungeni. Yeye ndio mratibu wa shughuli zote za bunge, ikiwemo, miswada na hoja mbalimbali. Akigomea chochote hakijadiliwi bungeni. Huyu hutumika na rais kulidhibiti bunge.
Nimatumaini yangu,aligeteuliwa no mtu makini,na kupitia yeye tutaondokana na ile miswaada ya hati ya dharura ya kutengeneza sheria kandamizi kama zile za awamu ya karibuni,na kudhibiti ukiukwaji wa Kariba kwa makusudi wa baadhi ya wababe.
 
Back
Top Bottom