Mwihambi angalia spelling na sahihisho wajina.Binafsi nampongeza sana bi Nenelwa Muhambwi kwa kuteuliwa kuwa Katibu wa bunge la JMT.
Katibu wa bunge ndio kiungo muhimu kati ya bunge na serikali tuna imani utakwenda kutenda haki.
Kadhalika utawakuta wale wabunge 19 wa Chadema ambao ubunge wao una utata, Tafadhali kamshauri ipasavyo mh Spika kwa sababu kwa jinsia huwezi kupendelea kuwa na maslahi binafsi.
Eid Mubarak!
Tumuombee asije kukengeuka na kiburi cha madaraka!Nimatumaini yangu,aligeteuliwa no mtu makini,na kupitia yeye tutaondokana na ile miswaada ya hati ya dharura ya kutengeneza sheria kandamizi kama zile za awamu ya karibuni,na kudhibiti ukiukwaji wa Kariba kwa makusudi wa baadhi ya wababe.
Nimatumaini yangu,aligeteuliwa no mtu makini,na kupitia yeye tutaondokana na ile miswaada ya hati ya dharura ya kutengeneza sheria kandamizi kama zile za awamu ya karibuni,na kudhibiti ukiukwaji wa Kariba kwa makusudi wa baadhi ya wababe.
Kuandika na kutunza hansards za bunge. Una swali jingine?Kazi ya Katibu wa bunge ni ipi?
Kama watashindwa kukidhi matarajio yetu,pia wawetayari kutuachia uhuru wetu wa kuwahukumu kwa haki kupitia sanduku la kura,na sii kupitia kura za kwenye vibegi na mkono wa dola.Ukizijua vizuri tabia za dola yoyote huwezi kutumaini hivyo.
Amerudi nyumbaniHahahaaaa..... Hahahaaaa..... Dr Amos Makalla mutu ya watu ndani ya Mzizima!
Acha tu, siasa za kijamaa ni tatizo.Kwa nini Nyerere alitufanyia hivi!!!
Hahahaaaa..... Hahahaaaa..... Dr Amos Makalla mutu ya watu ndani ya Mzizima!
Kikwete tena?!Mwendazake alimtema Amos Makalla kwa utendaji mbovu lakini Kikwete kamrudisha muweka hazina wake kwa kishindo kuonesha kuwa mwendazake hayupo tena yeye ndio dume la mbegu!!!
Nenelwa is the right choice kuwa mtendaji mkuu wa Bunge kwani amevunja ungo akiwa hapo Bungeni na mpaka akaolewa na mbunge hivyo anavijua vichochoro vyote vya bunge!!! Juu ya yote hayo ni msomi mzuri tu!!! Hongera sana.
Kikwete tena?!