Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
๐๐๐๐We jamaa una matatizo ya kisaikolojia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐We jamaa una matatizo ya kisaikolojia
Taratibu MkuuLabda billnas afanye biashara za maana apate mpunga au atoe hits apate show kiufupi ALETE mpunga mezani otherwise NDOA hii ikifika miaka 2 niite mbwa
mahusiano na ndoa ni vitu viwili tofauti... nandy hataweza kufanya maamuzi yeye kama yeye hapo ndo utata utaanza otherwise bilnas awe falaaa sanaaTaratibu Mkuu
Pwani Tunasema Mmoja Hapo Anatakiwa Awe (Mjumbe Ndiyo)mahusiano na ndoa ni vitu viwili tofauti... nandy hataweza kufanya maamuzi yeye kama yeye hapo ndo utata utaanza otherwise bilnas awe falaaa sanaa
Akizaa anaanza kunuka kama mbuzi hapo ndo wanaume tunaanza kutafuta mchepukoHii ndoa tunaipa miaka miwili tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtakumbuka haya maneno
Kamati ya roho mbaya kula kimasikharaLabda billnas afanye biashara za maana apate mpunga au atoe hits apate show kiufupi ALETE mpunga mezani otherwise NDOA hii ikifika miaka 2 niite mbwa
tumuambiee ukweriiiii kabla ya kuanza kwend kupanick nandy anunue kiwanja jina naandika lakeKamati ya roho mbaya kula kimasikhara
Halua haina makombo mkuuUna miliki demu unakuja porwa na wenye cheo na uchumi
Mwenye cheo na uchumi anakufa unarudishiwa makombo unaanza kufakamia makombo as if sio makombo
Ama kweli wanaume tunapungua sikuhizi
Ndo nini hiki kupenda kitonga au
Hamna makombo kwenye Mapenzi Boss,mwanamke ni mpya Kila siku hata alale na dunia nzima.Una miliki demu unakuja porwa na wenye cheo na uchumi
Mwenye cheo na uchumi anakufa unarudishiwa makombo unaanza kufakamia makombo as if sio makombo
Ama kweli wanaume tunapungua sikuhizi
Ndo nini hiki kupenda kitonga au
PoleeUna miliki demu unakuja porwa na wenye cheo na uchumi
Mwenye cheo na uchumi anakufa unarudishiwa makombo unaanza kufakamia makombo as if sio makombo
Ama kweli wanaume tunapungua sikuhizi
Ndo nini hiki kupenda kitonga au
Baada ya ndoa sasa,ni kazi moja tu,burudani msije mkapotea kama walivyokuwa Marrow na besta,Hongereni Bill Nass na Nandy kwa kufanya maamuzi mazuri, ndoa yenu ikawe ya heri na baraka.
Hongereni tena kwa kuwa mfano kwa wasanii wenzenu kuwa inawezekana mkinia jambo lenu.
Hakika mnatoka kwenye familia zenye misingi ya malezi ndio maana leo mmekula kiapo. Kongolee once again ๐
View attachment 2292811
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na atakua kibongisa kama shishiAkizaa anaanza kunuka kama mbuzi hapo ndo wanaume tunaanza kutafuta mchepuko
Unajisifu Mwanaume alafu unaandika huu utumbo.Wewe umekula Makombo mangapi?Kule mnamtukana Jokate kabeba mimba bila kuolewa huku Nandy kaamua kuolewa mapovu.Real Love never end hata kama bilionea atatia mguu.Fanya yako Mkuu wenzio washaamua Wanaume washamba wako mitandaoni kuponda Wanaume wenzao.Marlow na Besta walionyesha njia.Kamanda kavuta mchuma kila la kheri mengine mbele kwa mbele hakuna anayejua Kesho yake.Una miliki demu unakuja porwa na wenye cheo na uchumi
Mwenye cheo na uchumi anakufa unarudishiwa makombo unaanza kufakamia makombo as if sio makombo
Ama kweli wanaume tunapungua sikuhizi
Ndo nini hiki kupenda kitonga au