OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa hiyo? Ingekuwa hivyo basi hatuna haja ya kuisema vibaya CCM maana tuna ndugu na jamaa wanaotusaidia kule, hata wazazi waliotupeleka shule wengi ni CCMBila mwamba DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Retired ni chawa wa MBOWEMbowe pia aliahidi kwa kinywa chake kuwa 2023 atang'atuka. Pengine mleta mada ungemtendea Lisu hata nusu ya adabu kama ungehoji kwann Mbowe hajang'atuka hadi leo.
CCM DAIMA1. Lisu kwa upumbavu wako umipa CCM ushindi!
2. kulikuwa na haja gani ya kuitisha press?
3. kama ulisema mara 100, kuwa hutagombea Uenyekiti, leo umegeuka Jiwe, ni kuwa HUAMINIKI
View: https://www.instagram.com/habarimpyatv_/reel/DDUepM5iQsa/
KIFO CHA CHADEMA TAYARI
Kwa hiyo sasa ameonyesha mvutano siyo? Kiongozi gani unakuwa kigeugeu?1. Lisu kwa upumbavu wako umipa CCM ushindi!
2. kulikuwa na haja gani ya kuitisha press?
3. kama ulisema mara 100, kuwa hutagombea Uenyekiti, leo umegeuka Jiwe, ni kuwa HUAMINIKI
View: https://www.instagram.com/habarimpyatv_/reel/DDUepM5iQsa/
KIFO CHA CHADEMA TAYARI
Lakini pia amesema ni kwanini ameamua kubadili mawazo toka kutogombea hadi kugombea u-chair, nafikiri ameleza vizuri, japo sijasoma tamko lote!Kama alisema mwenyewe kuwa hatagombea nafasi ya Mwenyekiti na kwa utashi wake mwenyewe ameamua kugombea amevunja sheria yoyote? Na je Mbowe akija hadharani kusema hatagombea na anamuunga mkono Lissu utasimama upande gani? Tuacheni demokrasia ichukue mkondo wake.
CCM msiyempenda kaja1. Lisu kwa upumbavu wako umipa CCM ushindi!
2. kulikuwa na haja gani ya kuitisha press?
3. kama ulisema mara 100, kuwa hutagombea Uenyekiti, leo umegeuka Jiwe, ni kuwa HUAMINIKI
View: https://www.instagram.com/habarimpyatv_/reel/DDUepM5iQsa/
KIFO CHA CHADEMA TAYARI
Nashangaa hawa viwavi wanavyomsakama utafikiri ametenda uhaini.Lakini pia amesema ni kwanini ameamua kubadili mawazo toka kutogombea hadi kugombea u-chair, nafikiri ameleza vizuri, japo sijasoma tamko lote!
1. Lisu kwa upumbavu wako umipa CCM ushindi!
2. kulikuwa na haja gani ya kuitisha press?
3. kama ulisema mara 100, kuwa hutagombea Uenyekiti, leo umegeuka Jiwe, ni kuwa HUAMINIKI
View: https://www.instagram.com/habarimpyatv_/reel/DDUepM5iQsa/
KIFO CHA CHADEMA TAYARI
Ameonyesha wazi hana msimamo na kuwa kuna wanaomsukuma afanye hivyo kwa malengo. Hivyo anatumiwa kwa kujua au bila kujua. Kama ana sifa si angetangaza nia bila mashambulizi mengine? Na kwanini mwanzo hakutaka kugombea ila sasa? Sababu aliyotoa hairithishi zaidi ya kuonekana anasukumwa na wanaharakati wa CLUB HOUSENo, a big NO. Lakini unaangalia mazingira ya kuleta mpasuko. Chaguzi zinakuwa na mipasuko. Kuna CCM pale ana kila zana za kuwaua, kinachiowanganisha ni Umoja wenu. sasa unaleta hoj ya kuwagawa. LLISU IS STUPI! MROPOKAJI. AMEKULA MATAPISHI YAKE. HAAMINIKI TENA
View: https://www.instagram.com/habarimpyatv_/reel/DDUepM5iQsa/
HALAFU HUYU UMUAMINI KUMPA CHAMA, KESHO ATABADILIKA