Pre GE2025 Hongera CHADEMA kwa uchaguzi huru na haki, sijasikia tukio la wizi wa kura

Pre GE2025 Hongera CHADEMA kwa uchaguzi huru na haki, sijasikia tukio la wizi wa kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa mtaendelea kujipigia kura, na kutojiibia mbwa nyie. Acha niende sesemu oyeee.
Umeambiwa CCM wanapokea walevi😀?

Uchaguzi huu na ujao mitaa, madiwani, wabunge na Rais,

Hatutaki viongozi walevi Wala wapigakura walevi.
 
Salaam, shalom!!

Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu uchaguzi unaendelea wa Kanda, mchuano ni mkali na Leo tumeshuhudia Mh Sugu akiibuka mshindi Kwa tofauti ya kura mbili pekee.

Jambo jingine, sijasikia kura kuharibika, hili linaonesha kuwa uelewa wa wapiga kura CHADEMA ni WA kiwango Cha juu.

Jambo lingine zuri ni kuwa, sijasikia matukio ya wizi wa kura, kura kuzidi idadi ya wapiga kura, Wala sijaona polisi wakisimamia masanduku ya kura Kwa mitutu ya bunduki.

NEC ijifunze DEMOKRASIA na uhuru wa uchaguzi uliooonyeshwa na CHADEMA. Kwa waliotegemea mkono uanguke kama fisi, pole Yao.

Mungu ibariki CHADEMA ✊

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Kimara Uchaguzi imebidi urudiwe huko, kulikuwa na matatizo makubwa ya uchaguzi.

Ova
 
Umeambiwa CCM wanapokea walevi😀?

Uchaguzi huu na ujao mitaa, madiwani, wabunge na Rais,

Hatutaki viongozi walevi Wala wapigakura walevi.
Sawa, Nimeambiwa nchi inaongozwa na sesemu, nyie mnajipa taabu tu, sasa sesemu, ndio wananilisha, wananivesha na kunipa pombe, wanasema mama anaupiga mwingi. Sasa, acha nikapokelewa nyumbani kura yangu wanaitaka. Nyie si mnaona sisi tunaohoji walevi hatufai sawa. Acha niende sesemu tu. Nyie bakini na watu wasio walevi. Haya.
 
Sawa, Nimeambiwa nchi inaongozwa na sesemu, nyie mnajipa taabu tu, sasa sesemu, ndio wananilisha, wananivesha na kunipa pombe, wanasema mama anaupiga mwingi. Sasa, acha nikapokelewa nyumbani kura yangu wanaitaka. Nyie si mnaona sisi tunaohoji walevi hatufai sawa. Acha niende sesemu tu. Nyie bakini na watu wasio walevi. Haya.
Kwamba CCM wanakununulia pombe sio!!

johnthebaptist ya Kweli hayo?
 
Salaam, shalom!!

Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu uchaguzi unaendelea wa Kanda, mchuano ni mkali na Leo tumeshuhudia Mh Sugu akiibuka mshindi Kwa tofauti ya kura mbili pekee.

Jambo jingine, sijasikia kura kuharibika, hili linaonesha kuwa uelewa wa wapiga kura CHADEMA ni WA kiwango Cha juu.

Jambo lingine zuri ni kuwa, sijasikia matukio ya wizi wa kura, kura kuzidi idadi ya wapiga kura, Wala sijaona polisi wakisimamia masanduku ya kura Kwa mitutu ya bunduki.

NEC ijifunze DEMOKRASIA na uhuru wa uchaguzi uliooonyeshwa na CHADEMA. Kwa waliotegemea mkono uanguke kama fisi, pole Yao.

Mungu ibariki CHADEMA ✊

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Hujasikia jamani huko sugu aka moto chini katoa mpunga balaa. Yaani memba wakitoka hapo ni kununua fuso tu. Ila hiki ki NGO kinaboa
 
Hujasikia jamani huko sugu aka moto chini katoa mpunga balaa. Yaani memba wakitoka hapo ni kununua fuso tu. Ila hiki ki NGO kinaboa
Nilichosikia na kuthibitisha ni kuwa,

Sugu amemshinda Msigwa Kwa kura mbili pekee, 54 Kwa 52.

Na uchaguzi ulikuwa huru na HAKI,

Na Msigwa amekubali matokeo.

Source: Mwananchi media.

Wewe ndugu Mudawote chanzo Cha taarifa zako za kusikia ni kipi?
 
Tatizo halimalizwi kwa kulificha. Ila kwa kutatuliwa na kuzomewa hilo tatizo.

Ova
Sasa mbona wewe umeamua kulificha Badala ya kuliweka wazi?

Ungekuwa na Nia ya kuliweka wazi, ungetoa uthibitisho juu ya A- Z kuhusu tukio Hilo,

Karibu 🙏
 
Salaam, shalom!!

Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu uchaguzi unaendelea wa Kanda, mchuano ni mkali na leo tumeshuhudia Mh Sugu akiibuka mshindi Kwa tofauti ya kura mbili pekee.

Jambo jingine, sijasikia kura kuharibika, hili linaonesha kuwa uelewa wa wapiga kura CHADEMA ni WA kiwango Cha juu.

Nimefurahishwa pia na kauli ya Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu TUNDU Lisu kukemea hadharani matumizi ya pesa chafu katika mchakato mzima wa uchaguzi wa chama chake.

Jambo lingine zuri ni kuwa, sijasikia matukio ya wizi wa kura, kura kuzidi idadi ya wapiga kura, Wala sijaona polisi wakisimamia masanduku ya kura Kwa mitutu ya bunduki.

NEC ijifunze DEMOKRASIA na uhuru wa uchaguzi uliooonyeshwa na CHADEMA. Kwa waliotegemea mkono uanguke kama fisi, pole Yao.

Kwa kilichotokea katika chaguzi hizi zinazoendelea za CDM, wananchi wanatakiwa KUIAMINI pasi na shaka CDM katika chaguzi zijazo Kwa kuwa wameonyesha matumaini ya kuheshimu SANDUKU LA KURA ambalo likiheshimiwa, hutoa viongozi Bora.

Mungu ibariki CHADEMA ✊

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

PIA SOMA:
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
Kama kuna funzo muhimu zaidi kwa CHADEMA kutokana na zoezi lao hili, ni kutambua kwamba bado hawajafuzu kitu chochote.
Uchaguzi wao huu uchukuliwe kuwa kama 'mock' hivi kuelekea kwenye mtihani halisi hapo 2024 na 2025.
Mtihani wao huu wa 'mock' uwawezeshe kuwapata wanachama wao wenye sifa kushindana katika kila nafasi itakayokuwepo ya kuchaguliwa. Pasiwepo hata nafasi moja watakayowaachia CCM wapite bila ushindani, kuanzia kwenye nafasi za mitaa; kata; wilaya, mikoa hadi kwenye urais.

Lakini mtihani huu wa majaribio 'Mock' iwe ndipo chanzo cha kupanga mikakati ya kuzuia uharibifu unaofanywa na CCM katika chaguzi. Wajipange vizuri toka sasa, kuhakikisha kwamba hakuna kura ya mwananchi yeyote itakayoharibiwa kwa sababu CCM wanatafuta ushindi wasioustahili. Huu ndio mtihani wao mkubwa tokea sasa na kwenda mbele.
 
Salaam, shalom!!

Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu uchaguzi unaendelea wa Kanda, mchuano ni mkali na leo tumeshuhudia Mh Sugu akiibuka mshindi Kwa tofauti ya kura mbili pekee.

Jambo jingine, sijasikia kura kuharibika, hili linaonesha kuwa uelewa wa wapiga kura CHADEMA ni WA kiwango Cha juu.

Nimefurahishwa pia na kauli ya Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu TUNDU Lisu kukemea hadharani matumizi ya pesa chafu katika mchakato mzima wa uchaguzi wa chama chake.

Jambo lingine zuri ni kuwa, sijasikia matukio ya wizi wa kura, kura kuzidi idadi ya wapiga kura, Wala sijaona polisi wakisimamia masanduku ya kura Kwa mitutu ya bunduki.

NEC ijifunze DEMOKRASIA na uhuru wa uchaguzi uliooonyeshwa na CHADEMA. Kwa waliotegemea mkono uanguke kama fisi, pole Yao.

Kwa kilichotokea katika chaguzi hizi zinazoendelea za CDM, wananchi wanatakiwa KUIAMINI pasi na shaka CDM katika chaguzi zijazo Kwa kuwa wameonyesha matumaini ya kuheshimu SANDUKU LA KURA ambalo likiheshimiwa, hutoa viongozi Bora.

Mungu ibariki CHADEMA ✊

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

PIA SOMA:
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
Sugu na Wenje wamewapiga bei kama matikiti,mara vurugu mara wagombea wajitoe yaani ni shida tupu 😁😁

Pesa haiwezi Kushindwa na omba omba 😂😂
 
Kama kuna funzo muhimu zaidi kwa CHADEMA kutokana na zoezi lao hili, ni kutambua kwamba bado hawajafuzu kitu chochote.
Uchaguzi wao huu uchukuliwe kuwa kama 'mock' hivi kuelekea kwenye mtihani halisi hapo 2024 na 2025.
Mtihani wao huu wa 'mock' uwawezeshe kuwapata wanachama wao wenye sifa kushindana katika kila nafasi itakayokuwepo ya kuchaguliwa. Pasiwepo hata nafasi moja watakayowaachia CCM wapite bila ushindani, kuanzia kwenye nafasi za mitaa; kata; wilaya, mikoa hadi kwenye urais.

Lakini mtihani huu wa majaribio 'Mock' iwe ndipo chanzo cha kupanga mikakati ya kuzuia uharibifu unaofanywa na CCM katika chaguzi. Wajipange vizuri toka sasa, kuhakikisha kwamba hakuna kura ya mwananchi yeyote itakayoharibiwa kwa sababu CCM wanatafuta ushindi wasioustahili. Huu ndio mtihani wao mkubwa tokea sasa na kwenda mbele.
Umenena vyema,

Kumbe CCM wamekuwa wakiingiza viongozi mapandikizi ambao huleta baadae wagombea wabovu ambao hujiondoa Ili kulipa CCM ushindi wa mezani.

Uchaguzi wa 2024&2025 utakuwa wa kipekee,

Sasa wanajiandaa kuajiri polisi wengi sana Ili wasaidie jahazi lisizame, Hilo nalo halitafanikiwa.
 
Back
Top Bottom