Hongera CP Hamduni Salum kwa kumpigia simu Elioth Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi

Mungu fundi sana alituletea Magufuli kwa Maksudi ili atuoneshe namba ya kufanya uchuguzi kwa kutufundisha kupitia utawala wake na wateule wake ni kama mfano wa mfalme wa babeli katila nyakati za akina Daniel, Meshack,Abednego hindi walivyotendwa na wapambe wa mfalme
 
Chief tutachague chizi mara ngapi
 
Magufuli atakuwa alilishwa limbwata na wasaidizi wake haiwezekan mambo kam haya yatokee na awe kimya kias kile dah?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa Magufuli kweli amtume Sabaya kwa Mzee Lyimo kuchukua m25!? Kweli!? Na wwe unaamini kabisa!? Sabaya alikua anapiga kimya kimya na OCD wa Hai!!
 
πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…
Watasema Apandishwe Cheo
Tuna kasumba ya ajabu sana na ndiyo maana haki zetu nyingi zinapotea, tunashindwa kutofautisha favour na wajibu
 
Aliyemteua ndiyo alikuwa mpuuzi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…