Hongera CP Hamduni Salum kwa kumpigia simu Elioth Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi

Hongera CP Hamduni Salum kwa kumpigia simu Elioth Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi

Mtu anatimiza wajibu wake unamfungulia uzi
Tatizo wengine siku hizi hawataki kitimiza wajibu wao, ndiyo maana Mtu akitokea kutimiza wajibu wake tunaona anatufanyia Kama hisani tu!!
 
Magufuli atakuwa alilishwa limbwata na wasaidizi wake haiwezekan mambo kam haya yatokee na awe kimya kias kile dah?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
IMG_20210527_183902.jpg
 
Ivi yule OCD wa hai bado yupo kazini ,na kama bado yupo kazini hizi ni dharau za wazi kwa watanzania ,nikikumbuka kipindi cha kampeni huko hai alipomwambia mbowe hushindi uchaguz napata hasira sana .

Askari unapata wap kiburi cha kuongelea uchaguzi ,Sasa nimeamini kuwa askari polisi walio wengi wana elimu ya hapa na pale yaan bogus kabisa.

Askari hajui miiko yake ya kazi inasemaje ? Hata km yeye ni ccm lakin alipaswa kuzuia hisia za wazwaz .

Mm sijawah kumwamini mbowe kwenye mambo yake hasa swala la kukaa yeye tu kwenye uenyekiti na kuona wengine hawafai hapo hapo anataka chama chake kichukue nchi wakat ndani ya chama chake hakuna demokrasia ,lakin kwenye swala lile la ocd nasimama na mbowe alionewa sana Tena sana ,ningekuwa mm ni mbowe nisingeingia kwenye uchaguz tokea ile cku yule kilaza ocd atamke hivyo mbele ya kamera na hii ingempa credit sana mbowe huku yule askari kilaza angekuwa kwenye wakati mgumu hadi leo.

Pamoja na Hilo bado mbowe kwa tamaa zake akaingia kwenye uchaguzi na kupigwa pigo takatifu ,hapo tu ndipo simkubalig mbowe ana tamaa sana hasa limapokuja swala la maslahi binafsi ,maana ile siku angekomaa na ajenda ya yule OCD mpaka saiz angekuwa na heshima kubwa Zaid ya aliyonayo saiz
 
Magufuli atakuwa alilishwa limbwata na wasaidizi wake haiwezekan mambo kam haya yatokee na awe kimya kias kile dah?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapana sidbani hivyo. Magu alikuwa anachukia upinzani toka moyoni sasa baada ya wasaidizi kumsoma vizuri either kwa kupewa maagizo au kujua mkuu anahitaji nn, wao wakajiongeza. Wakifanya tukio wanamtaarifu huyu fulani anawafadhili CDM basi anapata baraka zote za mkuu. Jamaa anapiga hela kesi closed
 
Ina maaana hata Majaliawa alishindwa kumsaidia?
 
Siyo magufuli tu Bali hata waziri mkuu naye anatakiwa kushtakiwa kwani aliripotiwa matukio ya sabaya na hakuchukua hatua zote!
Magufuli nada lakini wasaidizi wake wapo nao washitakiwe kwa kunyamaza kadhia za sabaya kwani waliyajua!
Majaliwa nae alimfikishia makamo wa Rais wa kipindi hicho,Mama Samia nae Mama akakaa kimya!!
 
Mzee Lymo aliibiwa pesa, then akakaa kimya?

Duh?

Nyinyi watu si wa kuwaamini haraka haraka, vyombo vyetu vya usalama vikikuta Sabaya ana hatia nitaamini.
Ukitaka kujua sabaya alikuwa katili tafuta clip ambayo inamwonyesha akitoa kichapo kwa mfanyabiashara wa Arusha .

Kupitia ile clip mm kiukwel nimemwona sabaya ana ukatil shetan akasome .yote yanayosemwa hapa naamin ni kweli kabisa ,watu hawawez kukuchukia kiasi hicho .

Pia ukitaka kujua kuwa hawa watu aina ya makonda ni wanafki wa hatar anaua usiku kesho yupo kanisani anatoa hadi machoz kamuulize roma .Roma na mo wana Siri nzito sana ya makonda alivyokuwa mafia ila naamini makonda atakuja kulipa kuhusu Roma ,mo na wengine aliowafanyia umafia ,jamaa ajichunge sana Kuna cku watakuja kuta mwili wake unaelea juu ya maji huku ukiwa umelawitiwa kabisa maana watu wana machungu nae sana ,bahat nzuri nae analijua Hilo kuwa Kuna muda wa kulipa yale yote aliyowafanyie wenzie
 
Jambazi hili Sabaya ..ajabu kuna watu bado wanakuja kulitetea humu
 
Mzee Lymo aliibiwa pesa, then akakaa kimya?

Duh?

Nyinyi watu si wa kuwaamini haraka haraka, vyombo vyetu vya usalama vikikuta Sabaya ana hatia nitaamini.

Rudia kusoma bandiko vizuri,unakimbilia wapi ?.
 
"Polisi walimsindikiza bank akaenda kutoa sh 25M" ATM zinatoa sh 2M tu kwa siku, usiku bank zimefungwa 25M alitoaje?
Uwe unatumia akili kwan hawez kutoa pesa ndani huku akiwa na escort ya polisi? Nan atajua kuwa analazimishwa kutoa pesa hayo maeneo ya bank ,na ukizingatia kwenye mabenk Kuna askari hao hao walio chini ya mkuu wa wilaya.

Hata watoa huduma za pesa hawawez kuhis kitu maana wao watawaza kuwa mzee kaamua kuomba ulinz ili pesa yake ifike salama huko inakoenda.

Tatizo watu mnawaza kutoa pesa bank ni had na atm tu .

Alafu wapi pameandikwa sabaya alivamia usiku kwa huyo mzee ,okey na hata angevamia usiku kwan hawawez kukaa nae hapo hapo kwake had kukuche na kwenda kuchukua pesa bank?

Unapoongelea kitu jaribu kushirikisha ubongo na mdomo ,viunganishe kabla hujaropoka
 
Uwe unatumia akili kwan hawez kutoa pesa ndani huku akiwa na escort ya polisi? Nan atajua kuwa analazimishwa kutoa pesa hayo maeneo ya bank ,na ukizingatia kwenye mabenk Kuna askari hao hao walio chini ya mkuu wa wilaya.

Hata watoa huduma za pesa hawawez kuhis kitu maana wao watawaza kuwa mzee kaamua kuomba ulinz ili pesa yake ifike salama huko inakoenda.

Tatizo watu mnawaza kutoa pesa bank ni had na atm tu .

Alafu wapi pameandikwa sabaya alivamia usiku kwa huyo mzee ,okey na hata angevamia usiku kwan hawawez kukaa nae hapo hapo kwake had kukuche na kwenda kuchukua pesa bank?

Unapoongelea kitu jaribu kushirikisha ubongo na mdomo ,viunganishe kabla hujaropoka

Hawa ndio wale wanaoshika mkia darasani.
 
Back
Top Bottom