white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Ishu sio kulifahamu, kama hadi PM, aliambiwa lakini hakufanya lolote, unategemea nini?nguvu iliyokuwa nyuma ya sabaya ilikuwa kubwa sana!!ni Mungu tu ndio angeweza kuamua vingine!!Hivi ina maana huko PCCB hakuna aliyekuwa analijua hili? shame!!!SSH tuletee wazenj zaidi huku haya mengine ya huku bara ni majizi na manafiki tu.