Viongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.
Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.
Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.
Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.
Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.
Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.
Hongera!
Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.
Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.
Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.
Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.
Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.
Hongera!