Hongera Daniel Chongolo kwa kuwa muwazi na kuukataa mfumo dhalimu

Hongera Daniel Chongolo kwa kuwa muwazi na kuukataa mfumo dhalimu

Viongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.

Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.

Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.

Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.

Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.

Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.

Hongera!
Huo upuuzi wenu wa hisia zenu kwanini mnatuletea huku? Mnawashwa na nini, si msubiri taarifa rasmi km kweli amejiuzulu? Acheni ramli za kipuuzi.
 
Viongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.

Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.

Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.

Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.

Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.

Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.

Hongera!
Kama kweli anaukataa Udhalimu, alipaswa kuukataa Uteuzi wa awali wa nafasi yake ya Ukatibu Mkuu aliyonayo hivi sasa.
 
Hata hivyo na yeye amekusanyakusanya, kama vi hati miliki vya ardhi, hakosi 100 na zaidi, bado vipesa
Dah! Alafu ukomae upewe kasumu ufe😝

Bora kung'atuka ukaviendeleza hivyo vipande vya ARDHI
 
Mtu hata mwenye uadilifu mdogo sana, anayethamini uhai wa mwanadamu, na thamani ya mwanadamu, hawezi kufanya kazi na muuaji, mtekaji watu na mdhulumaji wa mali za watu.

Rais Samia kwa kumteua na kuamua kufanya kazi na muuaji anapeleka ujumbe kwa watu kuwa naye yupo tayari kufanya uchafu wa kila aina, hata kama ni kuwatumia wauaji ili kuyatafuta madaraka.

Walaaniwe wauaji na vizazi vyao. Roho za waliokatishwa uhai wao na hawa mashetani zipumzike kwa amani. Kisasi dhidi ya wauaji wao kipo mikononi mwa Mungu.
Wakati wenye akili timamu wakiwakataa kwa vitendo,wale ambao walikuwa karibu na Adolf Hitler,chini ya utawala wa kinazi na baadhi yao kuwakataa hata wale walio karibu nao,uku katika mataifa ya myopic leaders,wanawapa vyeo watu ambao walistahili kuwa jela.
 
IMG_20210430_224641.jpg
 
Sema asingeweza kufanya kazi na Makonda, mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kufanya kazi na Makonda
Aseme Makonda amewa outsmart ndani ya dakika chache. Utendaji wa Makonda umewatikisa hadi mawaziri na wakuu wote.

Huyu Chongolo hajawahi hata kukemea maovu ya watendaji, walau hata Bashiru na Kinana walikuwa wanafoka. Kumbe Chongolo yupo toka 2021? Sasa huo ukatibu mkuu wake ulikuwa kusoma ripoti tu na kuandaaa vikao vya chama au?

Kwa nyakati hizi ukiwa na katibu mkuu wa aina ya Chongolo lazima chama kichungulie shimo. Magu alishatibua akili za wananchi kuhusu hawa viongozi. Watu wanataka kuona moto na mambo yakienda. Sio kuoneana aibu, sijui kuogopa kuvunjiana heshima na nidhamu za kinafiki huku jitu linaiba na kuharibu.



Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Atakuwa ameshinikizwa si kwa utamu wa madaraka ulivyo kisa kusemwa semwa mitandaoni na watu ambao hata uhusika wao haujui. Katibu mkuu alipoa sana tena sana ni kazi bure. Kiwekwe chuma kikisimama kutema cheche wanachama wanasikia/kutekeleza na wapinzani wanahofia pia. Vita iko karibu 2024 mitaa na 2025 uchaguzi mkuu.
Eti ni wa toka 2021. Mi nilidhani kateuliwa hivi karibuni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.

Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.

Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.

Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.

Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.

Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.

Hongera!
[/QUOTE ]
Tunataka Katibu Mkuu CEO mchangamfu
Katibu mchangamfu
 
Mtu hata mwenye uadilifu mdogo sana, anayethamini uhai wa mwanadamu, na thamani ya mwanadamu, hawezi kufanya kazi na muuaji, mtekaji watu na mdhulumaji wa mali za watu.

Rais Samia kwa kumteua na kuamua kufanya kazi na muuaji anapeleka ujumbe kwa watu kuwa naye yupo tayari kufanya uchafu wa kila aina, hata kama ni kuwatumia wauaji ili kuyatafuta madaraka.

Walaaniwe wauaji na vizazi vyao. Roho za waliokatishwa uhai wao na hawa mashetani zipumzike kwa amani. Kisasi dhidi ya wauaji wao kipo mikononi mwa Mungu.
Amwombea mwenzie laana,hulaaniwa yeye na kizazi chake,na kazi ya kuhukumu ni kazi ya muumba peke yake.
 
Kwamba hakujua Chama kipo vipi wakati anaingia na anaendelea kuwemo kwenye Chama mpaka sasa alipoona kwamba anayekufukuza hakwambii toka ? :

Kwamba ameacha kuwa Mwana-CCM au bado ni ccm kindakindaki Chama unachosema wewe amekiona ni dhalimu...

Anyway sishangai hizi discussion of people and events ndio watu wanapenda kuzijadili badala ya Ideas....
 
Back
Top Bottom