Ameshapisha Muda Tu, Barua Ni KweliIle barua nani amethibitisha kama ni kweli? bado ni fununu
Sema asingeweza kufanya kazi na Makonda, mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kufanya kazi na MakondaAmeshapisha Muda Tu, Barua Ni Kweli
Ni aheri mwizi au fisadi kuliko huyu muuaji, fisadi na mwizi.Hata hivyo na yeye amekusanyakusanya, kama vi hati miliki vya ardhi, hakosi 100 na zaidi, bado vipesa
Ukiingiza kivuruge au ibilisi mahali popote, lazima amani ipotee.Ingizo la Bashite kwenye chama litasababisha mvurugano mkubwa sana ndani ya hicho chama chao wakati huu, na pia wakati ujao.
Kamwe Wahafidhina na wafuasi wa Jiwe hawawezi kuishi pamoja. Maana hawawezi kuyasahau kirahisi tu yale maumivu waliyopitia kipindi kile, na hivyo kufanya kazi na watu wake wa karibu; akiwemo huyu Bashite.
Ukiingiza kivuruge au ibilisi mahali popote, lazima amani ipotee. Yaani umuingize muuaji awaongoze ba awasemee wasiopenda uuaji, utegemee kuwe na amani?Ingizo la Bashite kwenye chama litasababisha mvurugano mkubwa sana ndani ya hicho chama chao wakati huu, na pia wakati ujao.
Kamwe Wahafidhina na wafuasi wa Jiwe hawawezi kuishi pamoja. Maana hawawezi kuyasahau kirahisi tu yale maumivu waliyopitia kipindi kile, na hivyo kufanya kazi na watu wake wa karibu; akiwemo huyu Bashite.
Hana loloteMtu anasubiri bandari inauzwa ndio anajiuzuru. Shenz type.
Kaenda kukimaliza chama cha haya majangiliIngizo la Bashite kwenye chama litasababisha mvurugano mkubwa sana ndani ya hicho chama chao wakati huu, na pia wakati ujao.
Kamwe Wahafidhina na wafuasi wa Jiwe hawawezi kuishi pamoja. Maana hawawezi kuyasahau kirahisi tu yale maumivu waliyopitia kipindi kile, na hivyo kufanya kazi na watu wake wa karibu; akiwemo huyu Bashite.
aliyekanusha yupo kwani?Ile barua nani amethibitisha kama ni kweli? bado ni fununu
Subirialiyekanusha yupo kwani?
Kaenda kukimaliza chama cha haya majangili