saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Huo upuuzi wenu wa hisia zenu kwanini mnatuletea huku? Mnawashwa na nini, si msubiri taarifa rasmi km kweli amejiuzulu? Acheni ramli za kipuuzi.Viongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.
Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.
Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.
Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.
Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.
Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.
Hongera!
Kama kweli anaukataa Udhalimu, alipaswa kuukataa Uteuzi wa awali wa nafasi yake ya Ukatibu Mkuu aliyonayo hivi sasa.Viongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.
Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.
Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.
Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.
Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.
Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.
Hongera!
Dah! Alafu ukomae upewe kasumu ufe😝Hata hivyo na yeye amekusanyakusanya, kama vi hati miliki vya ardhi, hakosi 100 na zaidi, bado vipesa
Wakati wenye akili timamu wakiwakataa kwa vitendo,wale ambao walikuwa karibu na Adolf Hitler,chini ya utawala wa kinazi na baadhi yao kuwakataa hata wale walio karibu nao,uku katika mataifa ya myopic leaders,wanawapa vyeo watu ambao walistahili kuwa jela.Mtu hata mwenye uadilifu mdogo sana, anayethamini uhai wa mwanadamu, na thamani ya mwanadamu, hawezi kufanya kazi na muuaji, mtekaji watu na mdhulumaji wa mali za watu.
Rais Samia kwa kumteua na kuamua kufanya kazi na muuaji anapeleka ujumbe kwa watu kuwa naye yupo tayari kufanya uchafu wa kila aina, hata kama ni kuwatumia wauaji ili kuyatafuta madaraka.
Walaaniwe wauaji na vizazi vyao. Roho za waliokatishwa uhai wao na hawa mashetani zipumzike kwa amani. Kisasi dhidi ya wauaji wao kipo mikononi mwa Mungu.
VC yuko wapi??Ameshapisha Muda Tu, Barua Ni Kweli
Aseme Makonda amewa outsmart ndani ya dakika chache. Utendaji wa Makonda umewatikisa hadi mawaziri na wakuu wote.Sema asingeweza kufanya kazi na Makonda, mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kufanya kazi na Makonda
Eti ni wa toka 2021. Mi nilidhani kateuliwa hivi karibuni.Atakuwa ameshinikizwa si kwa utamu wa madaraka ulivyo kisa kusemwa semwa mitandaoni na watu ambao hata uhusika wao haujui. Katibu mkuu alipoa sana tena sana ni kazi bure. Kiwekwe chuma kikisimama kutema cheche wanachama wanasikia/kutekeleza na wapinzani wanahofia pia. Vita iko karibu 2024 mitaa na 2025 uchaguzi mkuu.
Katibu mchangamfuViongozi wengi hung’ang’ania madaraka mpaka watolewe lakini angalau umeonesha njia nyingine kwa wenzako CCM.
Umeonesha kuwa hupendi kukokotwa kama punda kwa maslahi ya wachache.
Umeonesha hukupenda utendaji wa hovyo wa viongozi wa CCM akiwemo Makonda na Samia.
Umeonesha kuwa CCM kuna mgogoro unaendelea.
Umeonesha kuwa CCM bila kuwa mcheza rafu huwezi kuongoza chama hicho.
Pamoja na shinikizo la kuwa bado CCM tunajua umeanza kuuchoka mfumo CCM, ni mwanzo mzuri.
Hongera!
[/QUOTE ]
Tunataka Katibu Mkuu CEO mchangamfu
Ni kweli,mtu yoyete mwovu na mpiga dili hawezi kufanya kazi na makonda.Sema asingeweza kufanya kazi na Makonda, mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kufanya kazi na Makonda
Amwombea mwenzie laana,hulaaniwa yeye na kizazi chake,na kazi ya kuhukumu ni kazi ya muumba peke yake.Mtu hata mwenye uadilifu mdogo sana, anayethamini uhai wa mwanadamu, na thamani ya mwanadamu, hawezi kufanya kazi na muuaji, mtekaji watu na mdhulumaji wa mali za watu.
Rais Samia kwa kumteua na kuamua kufanya kazi na muuaji anapeleka ujumbe kwa watu kuwa naye yupo tayari kufanya uchafu wa kila aina, hata kama ni kuwatumia wauaji ili kuyatafuta madaraka.
Walaaniwe wauaji na vizazi vyao. Roho za waliokatishwa uhai wao na hawa mashetani zipumzike kwa amani. Kisasi dhidi ya wauaji wao kipo mikononi mwa Mungu.
Makonda ni jangiliNi kweli,mtu yoyete mwovu na mpiga dili hawezi kufanya kazi na makonda.