Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
A na B yote sawa
Tunakula tuishi ama tunaishi ili tule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakula tuishi ama tunaishi ili tule?
Sorry Allah simuhitaji hata kidogo wala sina habari naye hana msaada kwangu.Allah akusimamie🙏🙏🙏🙏
Tuangalie kemibos ama wale wote waliosoma prestige schools how are they doing at life, Wana innovation Gani waliyo impact the global,Nina hakika huyo 4M4 Kayumba anapotezwa na dogo wa Kemiboss Grade 6. Kayumba nawajua
100% FactTuangalie kemibos ama wale wote waliosoma prestige schools how are they doing at life, Wana innovation Gani waliyo impact the global,
Chambua ulete kuwa Fulani alisomea shule Fulani saivi umeona aliyoyafanya, kuna yule dogo mwenye NALA aliyeenda kufungulia ofisini Kenya tuone , je shule aliyotokea wapo wangapi Kama yeye,let us compare school fees and the performance at real life ili tuone Kama Iko related. We need watu watoe ushuhuda kuwa em zimewasaidiaje, tuje wabunge wetu tucheki waliosoma kayumba na em tufanye tupate ratio. Jamani kusoma sio gharama kabisa gharama ni mwanafunzi mwenyewe kukomaa kutafuta maarifa ambayo yapo available, mbona watu wanajisomea online na wanatoboa. Yaani watu wanakuza mno elimu na gharama, mie miaka sita yote Niko boarding sijatumia hata milioni ikafika jamani.
Kufaulu kwa kijanja sio kisifa , wewe unaambiwa kuwa A ni 75 wewe unapata 98 hizo zilizozidi hapo ni keherehere na kisabengo chako. Sie tunataka kiasi Fulani unazidisha ili iweje Kama nakumbuka nilikuwa mbadi mno fizikia adi necta nilikuwa nasovu kwa njia mbili swali moja napata jibu Lile yaani naandika alternatively kuonyesha kuwa sijabahatishaHongera sana.
Toto langu limesoma Precious Blood limepata Div 1 ya Point 7 limenuna kwasababu hizo point ni jambo la kawaida sana.
Precious Blood ukipata Div 1 ya point 10 na kuendelea umefanya vibaya sana.
Hizi shule za Catholic ni balaa kubwa yaani hakuna Div 2 kabisa mwisho ni One ya 11.
Sasa wewe unakuja na Div 2 ya point 20 unashangilia huku Precious wangekanyongelea mbali kwa kutia doa kubwa na baya Shule takatifu.
Ngongo kwasasa niko na Binti yenu River Tree 🌳 tunakula bata ingawa hana furaha sana.
mtoto mshenzi Sana wewe😃🤣For your standards, II 20 is very mediocre.
oya mbona una tumia spana Kali 😃I don't know.
But basing on what you post in here, I'm pretty sure it's very high.
You're vindictiveness towards EMS made me believe you'd make sure your child scores the very best just to prove your point.
But here we are.
Season za kikorea, zina mdatisha Numbisa 😊😂Numbisa unavyo penda English inaonekana wewe hata watoto wako wakiongea Kiswahili u be like " Nyie shauri yenu"
Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?
Umeanza 😹😹😹Ila kwa kweli wasukuma wana ulimwengu wao pekee🤣🤣🤣deshsesh baaabyyyy
Kuna kitu nakunywa..Umeanza 😹😹😹
Na mi nimeona unatafuta ugomvi 😹😹Kuna kitu nakunywa..