Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isunga chupi ndo wapi Likud 😹😹🤣Anajua. Ni Mtoto wa mjini. Hajakulia Isunga Chupi. Ukizaliwa mjini Daslamu tayari wewe ni form 6 hata kama umeishia la saba
100% FactMy schools are Ilboru and Tabora boys , hao ndio wengine walikuwa watani wetu, boys mtu alikuwa anakomaa anatoka bila hata ya mwalimu kutoa mchango wowote, yaani tulizoea kukomaa wenyewe so inakujengea how to find out something for yourself
Hongera sana.Nianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.
Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.
Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?
Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.
Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.
So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"
Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.
Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.
Kumbuka.
Huyu ni mtoto wa uswahilini.
Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi
Kukulia uswazi.
Na pepa form 4 katusua.
( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)
My Budget was : 50 Cents.
But Matokeo : Jay Z.
No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.
Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..
Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .
Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.
Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.
# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?
Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
Then English should never be a problem to you
Hongera sana.
Toto langu limesoma Precious Blood limepata Div 1 ya Point 7 limenuna kwasababu hizo point ni jambo la kawaida sana.
Precious Blood ukipata Div 1 ya point 10 na kuendelea umefanya vibaya sana.
Hizi shule za Catholic ni balaa kubwa yaani hakuna Div 2 kabisa mwisho ni One ya 11.
Sasa wewe unakuja na Div 2 ya point 20 unashangilia huku Precious wangekanyongelea mbali kwa kutia doa kubwa na baya Shule takatifu.
Ngongo kwasasa niko na Binti yenu River Tree 🌳 tunakula bata ingawa hana furaha sana.
Nianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.
Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.
Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?
Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.
Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.
So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"
Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.
Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.
Kumbuka.
Huyu ni mtoto wa uswahilini.
Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi
Kukulia uswazi.
Na pepa form 4 katusua.
( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)
My Budget was : 50 Cents.
But Matokeo : Jay Z.
No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.
Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..
Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .
Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.
Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.
# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?
Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
Defensive mechanismNianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.
Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.
Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?
Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.
Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.
So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"
Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.
Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.
Kumbuka.
Huyu ni mtoto wa uswahilini.
Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi
Kukulia uswazi.
Na pepa form 4 katusua.
( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)
My Budget was : 50 Cents.
But Matokeo : Jay Z.
No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.
Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..
Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .
Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.
Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.
# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?
Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
Huyo ana fooooTatizo lako ni muongomuongo
Asubuhi ulisema ni II ya 22, sasa umebadilika ni II ya 20 kesho utasema I ya 10
Haaaa haaaa LIKUD kupanga ni kuchagua.Vipato vyetu havilingani,vipaumbele vyetu vinatofautiana sana.Bajeti ya aliyotumia Ngongo Kwa mtoto wake kuanzia form one mpaka form 4 👇👇
= Milioni ishirini.
Matokeo ya form 4= Division 1 ya point 7.
Bajeti aliyo tumia Likud Kwa mtoto wake kuanzia form one mpaka form 4 = 50 Cents.
Matokeo = Division 2 ya point 20.
Wote wanaenda Form V
Halafu Ngongo eti anamshangaa Likud kushangilia matokeo ya mtoto wake.
Ngongo ni kwamba hujui hesabu ama?
Yani wewe Hamisa Mobetto umemuhonga Milioni Kumi ndio kakupa halafu Mimi kanipa Bure.
Hapo mjanja nani fala nani?
Umewekeza Kwa mwanao au umewekeza Kwa mmiliki wa shule?Haaaa haaaa LIKUD kupanga ni kuchagua.Vipato vyetu havilingani,vipaumbele vyetu vinatofautiana sana.
Sasa wewe unaona 20 Mil hela nyingi sana huwezi kuwekeza kwa mwanao unaibana unajiona mjanja wakati mimi na familia yangu tunatumia hiyo hela kushherekea XMAS na Mwaka mpya.
Jirani yangu watoto wake wanasomo St Constantine fees yake kwa mwaka ni bei ya Hilux double cabin.
Ngongo kwasasa Rivet Tree 🌳 USARIVER.
Nimewekeza kwa Binti yangu.Form 6 Mazinde Juu.Umewekeza Kwa mwanao au umewekeza Kwa mmiliki wa shule?