Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Anajua. Ni Mtoto wa mjini. Hajakulia Isunga Chupi. Ukizaliwa mjini Daslamu tayari wewe ni form 6 hata kama umeishia la saba
Isunga chupi ndo wapi Likud 😹😹🤣
 
My schools are Ilboru and Tabora boys , hao ndio wengine walikuwa watani wetu, boys mtu alikuwa anakomaa anatoka bila hata ya mwalimu kutoa mchango wowote, yaani tulizoea kukomaa wenyewe so inakujengea how to find out something for yourself
100% Fact
 
Nianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.

Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.

Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?



Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.

Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.

So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"

Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.

Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.

Kumbuka.


Huyu ni mtoto wa uswahilini.

Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi

Kukulia uswazi.

Na pepa form 4 katusua.

( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)


My Budget was : 50 Cents.

But Matokeo : Jay Z.

No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.

Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..


Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .

Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.

Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.



# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?

Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
Hongera sana.

Toto langu limesoma Precious Blood limepata Div 1 ya Point 7 limenuna kwasababu hizo point ni jambo la kawaida sana.

Precious Blood ukipata Div 1 ya point 10 na kuendelea umefanya vibaya sana.

Hizi shule za Catholic ni balaa kubwa yaani hakuna Div 2 kabisa mwisho ni One ya 11.

Sasa wewe unakuja na Div 2 ya point 20 unashangilia huku Precious wangekanyongelea mbali kwa kutia doa kubwa na baya Shule takatifu.

Ngongo kwasasa niko na Binti yenu River Tree 🌳 tunakula bata ingawa hana furaha sana.
 
Hongera sana.

Toto langu limesoma Precious Blood limepata Div 1 ya Point 7 limenuna kwasababu hizo point ni jambo la kawaida sana.

Precious Blood ukipata Div 1 ya point 10 na kuendelea umefanya vibaya sana.

Hizi shule za Catholic ni balaa kubwa yaani hakuna Div 2 kabisa mwisho ni One ya 11.

Sasa wewe unakuja na Div 2 ya point 20 unashangilia huku Precious wangekanyongelea mbali kwa kutia doa kubwa na baya Shule takatifu.

Ngongo kwasasa niko na Binti yenu River Tree 🌳 tunakula bata ingawa hana furaha sana.

Bajeti ya aliyotumia Ngongo Kwa mtoto wake kuanzia form one mpaka form 4 👇👇

= Milioni ishirini.


Matokeo ya form 4= Division 1 ya point 7.


Bajeti aliyo tumia Likud Kwa mtoto wake kuanzia form one mpaka form 4 = 50 Cents.


Matokeo = Division 2 ya point 20.

Wote wanaenda Form V
Halafu Ngongo eti anamshangaa Likud kushangilia matokeo ya mtoto wake.


Ngongo ni kwamba hujui hesabu ama?


Yani wewe Hamisa Mobetto umemuhonga Milioni Kumi ndio kakupa halafu Mimi kanipa Bure.

Hapo mjanja nani fala nani?
 
English muhimu bana. Usitese watoto
To Numbisa , English is better than Oygen🤣🤣🤣

Ila ukiweza kupata jibu la swali, Tunakula ili tuishi au tunaishi ili ule? Ndo utajua English ni muhimu au Sio muhimu
 
Nianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.

Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.

Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?



Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.

Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.

So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"

Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.

Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.

Kumbuka.


Huyu ni mtoto wa uswahilini.

Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi

Kukulia uswazi.

Na pepa form 4 katusua.

( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)


My Budget was : 50 Cents.

But Matokeo : Jay Z.

No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.

Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..


Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .

Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.

Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.



# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?

Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
1000014038.jpg
 
Nianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.

Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.

Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?



Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.

Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.

So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"

Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.

Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.

Kumbuka.


Huyu ni mtoto wa uswahilini.

Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi

Kukulia uswazi.

Na pepa form 4 katusua.

( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)


My Budget was : 50 Cents.

But Matokeo : Jay Z.

No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.

Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..


Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .

Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.

Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.



# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?

Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
Defensive mechanism
Broke ass
 
Kula inapatikana baada ya kuongea. Tunaongea ili tuishi
To Numbisa , English is better than Oygen🤣🤣🤣

Ila ukiweza kupata jibu la swali, Tunakula ili tuishi au tunaishi ili ule? Ndo utajua English ni muhimu au Sio muhimu
 
Bajeti ya aliyotumia Ngongo Kwa mtoto wake kuanzia form one mpaka form 4 👇👇

= Milioni ishirini.


Matokeo ya form 4= Division 1 ya point 7.


Bajeti aliyo tumia Likud Kwa mtoto wake kuanzia form one mpaka form 4 = 50 Cents.


Matokeo = Division 2 ya point 20.

Wote wanaenda Form V
Halafu Ngongo eti anamshangaa Likud kushangilia matokeo ya mtoto wake.


Ngongo ni kwamba hujui hesabu ama?


Yani wewe Hamisa Mobetto umemuhonga Milioni Kumi ndio kakupa halafu Mimi kanipa Bure.

Hapo mjanja nani fala nani?
Haaaa haaaa LIKUD kupanga ni kuchagua.Vipato vyetu havilingani,vipaumbele vyetu vinatofautiana sana.

Sasa wewe unaona 20 Mil hela nyingi sana huwezi kuwekeza kwa mwanao unaibana unajiona mjanja wakati mimi na familia yangu tunatumia hiyo hela kushherekea XMAS na Mwaka mpya.

Jirani yangu watoto wake wanasomo St Constantine fees yake kwa mwaka ni bei ya Hilux double cabin.

Ngongo kwasasa Rivet Tree 🌳 USARIVER.
 
Haaaa haaaa LIKUD kupanga ni kuchagua.Vipato vyetu havilingani,vipaumbele vyetu vinatofautiana sana.

Sasa wewe unaona 20 Mil hela nyingi sana huwezi kuwekeza kwa mwanao unaibana unajiona mjanja wakati mimi na familia yangu tunatumia hiyo hela kushherekea XMAS na Mwaka mpya.
Umewekeza Kwa mwanao au umewekeza Kwa mmiliki wa shule?



Jirani yangu watoto wake wanasomo St Constantine fees yake kwa mwaka ni bei ya Hilux double cabin.

Ngongo kwasasa Rivet Tree 🌳 USARIVER.
 
Back
Top Bottom