Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Congratulations still mateso ya debate na presentations chuo bila ung'eng'e atapata tabu sana. Somesha watoto ems kama uwezo unakuruhusu mkuu
We nawe? Upo so much obsessed na English eti eeh?🤣🤣🤣🤣🤣
 
hujamuelewa yaani yeye haoni impact yoyote ya EMs kwani mwisho wa siku wanakuja kukutana na Kayumba huko vyuoni nahao Kayumba wanawaburuza wa EMs sasa yanini utumie pesa nyingi badala ya kumuwekea investment mapema? Ingekuwa na huko mbeleni kuna vyuo vya waliotoka EMs vyenye hadhi ya juu kuliko waliotoka Kayumba hapo sawa..hv hvo waliotoka EMs mwisho wa siku wanakuja kusaka ajira pamoja na hawa waliotoka Kayumba nini maana yake? anaenda mbali kwa kusema kama huko EMs mnafata kingereza mbona kuna program mtoto anaweza zitumia kujifunza kingereza..Ngoja niachie hapo kwanza nimechoka kuponyeza.
Sasa si atulie.... hatuwezi kufanana
 
Mkuu Mimi nimeshahama kutoka kwenye mentality ya kutaka good grades.

But if we go down to that level kuna wanafunzi wapeta division 3 na 4 kwenye shule za private.

Dogo anasoma Kayumba na katusua Division 2 ambayo inampeleka form five halafu unasema sijafikia lengo? What's up? Kwani lengo la kusoma O level si kufaulu kwenda 5?
Angetusua hapo, angepata fursa ya kwenda A level nzuri ambayo ni mlango wa mafanikio

Au unadhani atafaulu zaidi ya hivi huko A level? Labda kimiujiza

Sasa elimu ya bure kabisa and she couldn't make the most of it, she couldn't get the best grades.

You should be disappointed!

Hao wanaokula 3 na 4 private wamefeli na wanajua hilo, wanatafuta milango mingine

Sikuwahi kuku-label kama mtu anayependa vitu vya kawaida.
 
Anajua. Ni Mtoto wa mjini. Hajakulia Isunga Chupi. Ukizaliwa mjini Daslamu tayari wewe ni form 6 hata kama umeishia la saba
Hii Isunga chupi iko wapi mkuu?
😁
 
Nimesoma kayumba mkuu. English muhimu aiseee,picha la kwanza form one kuvalishwa magunia na pembe la ng'ombe bonge la trauma😂😂😂
We nawe? Upo so much obsessed na English eti eeh?🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hata akisoma computer,kazini wakija wazungu atakua anawakimbia au busy na dictionary. Likud aache kutesa watoto huku uwezo anao😂😂😂
Ushauri; Hakikisha anajua computer ili aende sambamba na wale wa EMs
 
Ana akili.

Huyo angekuwa mikoani au boarding school angepata One division

Mazingira ya mkoa wa Dar kwa Kayumba, tena Day, halafu mtoto wa kike, kwa kweli inahitaji uwezo binafsi.
 
Uelewa wako mdogo Sana mbona hamaanishagi hivyo?
FB_IMG_1712345930359.jpg
 
Aaah wapi sio ngeli ya kufananisha na wa abroad nipo nao huku kazini wote tumetoka kayumba ni ile ngeli anayoongea diamond(sema huyu wa la saba,sasa hawa wa form four hadi degree wanainyoosha kijanja) ndo mnasifia ya abroad
sio hoja hyo kuna waliosoma Kayumba wanapiga ngeli kama walisomea abroad vile.
 
Nimesoma kayumba mkuu. English muhimu aiseee,picha la kwanza form one kuvalishwa magunia na pembe la ng'ombe bonge la trauma😂😂😂
Ilikuwa Zamani hiyo mkuu siku hizi utandawazi umebadilisha mambo watu wengi Sana wanajua English
 
Ana akili.

Huyo angekuwa mikoani au boarding school angepata One division

Mazingira ya mkoa wa Dar kwa Kayumba, tena Day, halafu mtoto wa kike, kwa kweli inahitaji uwezo binafsi.
100% Fact
 
For your standards, II 20 is very mediocre.
Sikia nowdays hakuna haja ya kupata ama kufaulu kwa A zote , hakuna dili , hata mwanangu napenda apate katikati, mie nimepata hizo wani both A&O hakuna maajabu sana.
Maisha sio kuwa na A.
Hata jack ma alisema anataka wanawe wapate alama za kawaida. Hujamsoma kiyosaki why A students work for C students. Yaani awe mjanja wa sales skills na Mambo mengine mtaani anameki Maisha mbona. Kuna madalali Wana Maisha mazuri kuzidi waliopata A. Maisha na As za school I don't think are directly proportional
 
Back
Top Bottom