Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Nianze Kwa kushusha lawama nzito sana Kwa wazazi jirani zangu ambao mlikuwa mnawasomesha watoto wenu Kayumba kuanzia primary huku Mimi nikichoma hela Kwa kumsomesha huyu dogo shule ya EM kuanzia chekechea Hadi la Saba.

Duh mlikuwa mnanichora tu nnavyo pigwa hela zangu kiboya na maboya.

Kwanini hamkuniambia ni raha hivi kumsomesha dogo Kayumba halafu anatusua?



Anyways I thank God kuanzia form one Hadi form 4 kasoma Kayumba na kapata Division 2 ya point 20.

Na kama asingekuwa "mtundu mtundu" angepata one kabisa . Coz alipomaliza mtihani wa form two niliona mabadiliko I think alipata kiboy friend wakawa wanadanganyana.

So form 3 na form 4 yote hiyo her life style was just " Osh Kosh B'Gosh"

Hata kujisomea home alikuwa hajisomei akirudi home ni tv na Instagram na yeye na virafiki vyake ( class mates) vikija kumtembelea home story zao ni za Ki elfu 2 elfu 2.

Matokeo yametoka kapata Division 2 ya point 20 something hich means that ataenda form 5 shule ya serikali. Huko najua atapata wani tu Kwa sababu itakuwa boarding na atakuwa a little bit matured. ( she wqs born in 2007.

Kumbuka.


Huyu ni mtoto wa uswahilini.

Kazaliwa jijini Dar es Salaam, uswazi

Kukulia uswazi.

Na pepa form 4 katusua.

( Watu wa mikoani wanasemaga Dar es salaam watoto hawasomagi)


My Budget was : 50 Cents.

But Matokeo : Jay Z.

No stress No nothing but dogo katusua, what a feeling.

Kilicho nifurahisha Zaidi kuhusu shule Yao ni kwamba katika zile Division One 5 kwenye shule Yao, zote ni watoto walio piga pure Kayumba kuanzia la kwanza..


Wewe Mtanzania unae jistress kusomesha watoto wako shule ya Ems wakati huna assets huna real investment Kwa ajili ya future ya watoto wako, acha kuendelea kujitesa for nothing. Usiwe kama wale vilaza wanao amini katika kujitesa .

Haya twende Kazi Sasa: Kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya Ems warejeshe Kayumba. Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa. Hiyo pesa unayo itupa Huko itumie kufanya investments na kumsimamia mtoto wako kwenye shule hiyo hiyo ya Kayumba.

Kama Upo obsessed na English Kuna programs kibao za kuwasaidia watoto kumaster English.



# Kwanini Uhangaike kwenda kuuza nyumba au kiwanja Chako upate pesa za kumlipa 50 cents aje kufanya interview kwenye podcast yako wakati unayo cash ya kumlipa Tony Yayo na chochote unacho taka kujua kuhusu 50 cent, Tony Yayo anaweza kukujibu Kwa ufasaha kabisa?

Ni kwamba hesabu zinakupiga chenga ama ubongo wako umekuwa wired kuwa fala?
Naomba msamaha ndugu ,Mimi nakubaliana na wewe kabisa kwenye Jambo hili ijapokuwa nilikuwa na Toto kwenye shule za private Sasa kumbe bwana walimu uwa wanapiga hela zetu qlafu mtihani ukifika wanachambua wale vichwaa wanapiga mtihani shuleni hapo hapo Ila wale vilaza Kama mwanangu wanapelekwa shule za jirani zile za akifufuka tutashangaa .

Sasa matokeo yametoka limezungusha lishikaaji langu nawaza nafanyaje hapa ni litoto la ndugu yangu mmoja na Mimi nilijipa majukumu yakuhakikisha linasoma Ila limenipiga na kitu kizito kabisa
 
Kwa cv ya Mwanao atafanikiwa kufika mpaka degree, ila atakuja kuleta usumbufu kwenye ndoa lazima, vijana na watoto wangu huyu ni Baba Mkwe wenu mtarajiwa na hivi ndivyo anamuelezea binti yake, kweli Malezi Hakuna siku hizi!
Mimi Sio Mzee mkuu.

Ukitaka kuoa binti alie lelewa kwenye malezi bora nenda kaoe mtoto wa Mzee Warioba au Mtoto wa Mchungaji Magembe
 
Naomba msamaha ndugu ,Mimi nakubaliana na wewe kabisa kwenye Jambo hili ijapokuwa nilikuwa na Toto kwenye shule za private Sasa kumbe bwana walimu uwa wanapiga hela zetu qlafu mtihani ukifika wanachambua wale vichwaa wanapiga mtihani shuleni hapo hapo Ila wale vilaza Kama mwanangu wanapelekwa shule za jirani zile za akifufuka tutashangaa .

Sasa matokeo yametoka limezungusha lishikaaji langu nawaza nafanyaje hapa ni litoto la ndugu yangu mmoja na Mimi nilijipa majukumu yakuhakikisha linasoma Ila limenipiga na kitu kizito kabisa
Pole Sana kaka
 
😏
1000021152.jpg
 
Advance mlete Maneromango high school kisarawe Pwani ntakua mwenyeji wake.
Naijua Sana hiyo shule. Maneromango kwao na mama angu. Maneromango/ Msanga Sokoni/ Msanga Ngongere / Malui/ Vikumburu kote huko watu ukoo wa mama angu.

So nafasi zinapatikana? Incase akipangiwa shule ya mbali nikataka kumleta hapo?
 
You are a c student. You have failed my Class. This is not what I am preaching
Then tell me how state schools are better than EMS, given that they have failed to give your daughter good grades

II 20 is not even in the 90th percentile
 
Naijua Sana hiyo shule. Maneromango kwao na mama angu. Maneromango/ Msanga Sokoni/ Msanga Ngongere / Malui/ Vikumburu kote huko watu ukoo wa mama angu.

So nafasi zinapatikana? Incase akipangiwa shule ya mbali nikataka kumleta hapo?hakuna

Naijua Sana hiyo shule. Maneromango kwao na mama angu. Maneromango/ Msanga Sokoni/ Msanga Ngongere / Malui/ Vikumburu kote huko watu ukoo wa mama angu.

So nafasi zinapatikana? Incase akipangiwa shule ya mbali nikataka kumleta hapo?
Hakuna kinachoshindikana chini ya jua
 
Then tell me how state schools are better than EMS, given that they have failed to give your daughter good grades

II 20 is not even in the 90th percentile
Mkuu Mimi nimeshahama kutoka kwenye mentality ya kutaka good grades.

But if we go down to that level kuna wanafunzi wapeta division 3 na 4 kwenye shule za private.

Dogo anasoma Kayumba na katusua Division 2 ambayo inampeleka form five halafu unasema sijafikia lengo? What's up? Kwani lengo la kusoma O level si kufaulu kwenda 5?
 
Congratulations still mateso ya debate na presentations chuo bila ung'eng'e atapata tabu sana. Somesha watoto ems kama uwezo unakuruhusu mkuu
 
ajenda yake hujaielewa? Ana wivu na wazazi wanowekeza kielimu kwa watoto kwa kuwapa elimu bora ya gharama.
hujamuelewa yaani yeye haoni impact yoyote ya EMs kwani mwisho wa siku wanakuja kukutana na Kayumba huko vyuoni nahao Kayumba wanawaburuza wa EMs sasa yanini utumie pesa nyingi badala ya kumuwekea investment mapema? Ingekuwa na huko mbeleni kuna vyuo vya waliotoka EMs vyenye hadhi ya juu kuliko waliotoka Kayumba hapo sawa..hv hvo waliotoka EMs mwisho wa siku wanakuja kusaka ajira pamoja na hawa waliotoka Kayumba nini maana yake? anaenda mbali kwa kusema kama huko EMs mnafata kingereza mbona kuna program mtoto anaweza zitumia kujifunza kingereza..Ngoja niachie hapo kwanza nimechoka kuponyeza.
 
hujamuelewa yaani yeye haoni impact yoyote ya EMs kwani mwisho wa siku wanakuja kukutana na Kayumba huko vyuoni nahao Kayumba wanawaburuza wa EMs sasa yanini utumie pesa nyingi badala ya kumuwekea investment mapema? Ingekuwa na huko mbeleni kuna vyuo vya waliotoka EMs vyenye hadhi ya juu kuliko waliotoka Kayumba hapo sawa..hv hvo waliotoka EMs mwisho wa siku wanakuja kusaka ajira pamoja na hawa waliotoka Kayumba nini maana yake? anaenda mbali kwa kusema kama huko EMs mnafata kingereza mbona kuna program mtoto anaweza zitumia kujifunza kingereza..Ngoja niachie hapo kwanza nimechoka kuponyeza.
100% Fact
 
Back
Top Bottom