Euroleague
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 515
- 1,410
Ndio maana nawaambia vijana hamna hela nyingi kihivyo huko you tube kama tunavyodanganywa kijiweni. Hawa wakinadiamond wanadili zao nyingine zakuwapa mahela mengi ila huko you tube tunapewa story za Rupia tu. Juzi hapa Harmonize kapewa dili CRDB mpunga aliopata naimani hata YouTube hawawezi kumpa ndani ya mwaka mzima kwenye album yake.Unatakiwa uangalia tangazo mwanzo hadi mwisho na hii ndio sababu wengi hawapati.
Hongera yake yule kila siku anapost nazani ndio atapongezwa sana maana ni muandishi wa habari sio kitu rahisi kabisa.Aiseee nasi Millardi naye atafikisha 1bil mwezi ujao maana kabakiza 67000 tu
πππππAli kiba alishafikisha hizo toka mwaka jana,sema tu hapendi showoffs
Kweli nabii hathaminiki kwao doh....Kama kawapita davido na wizkid mtu mbaya...basi hizo vyuuz hazina mpango
We jamaa kaa mbali na davido,ukimucha wizkid the star boy..jamaa wako mbali sana
Mkuu serikalini huko kushawekwa sheria za kipuuzi za takwimu hatuna uhuru wa kuzichambua. Acha tujiachie huku, hata ukisema mond ana views 6 na kiba anazo 2 hufunguliwi kesi za kiboya. Huku ni stress free zone.Kupiga mahesabu pesa za watu, lakini hesabu za serikali hatuzijui, ndio maana tunapigwa kodi zetu huku tunashangilia.
Kijana ana baraka kubwa sanaLeo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja.
Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita. Diamond anafuatiwa na Millard ayo ambaye kwa sasa ana viewers M933 na huku King wa bongo Fuleva ana Viewers M112
View attachment 1474113
Mkuu samahani je unaweza kututajia huo mpunga alioupata Mzee wa Chitoholi ni kiasi gani?Ndio maana nawaambia vijana hamna hela nyingi kihivyo huko you tube kama tunavyodanganywa kijiweni. Hawa wakinadiamond wanadili zao nyingine zakuwapa mahela mengi ila huko you tube tunapewa story za Rupia tu. Juzi hapa Harmonize kapewa dili CRDB mpunga aliopata naimani hata YouTube hawawezi kumpa ndani ya mwaka mzima kwenye album yake.
Akikutajia nitagMkuu samahani je unaweza kututajia huo mpunga alioupata Mzee wa Chitoholi ni kiasi gani?