Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 195
New song of DIAMOND PLATNUMZ=Je utanipenda?? DOWNLOAD CLICK HERE
GOOD SONGWRITER=CHIEF DANGOTE,GOOD LYRICS=JE UTANIPENDA??
GOOD SONGWRITER=CHIEF DANGOTE,GOOD LYRICS=JE UTANIPENDA??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu,nimeshindwa kuvumilia kwakweli.
Huu wimbo haukauki machoni mwangu,leo nitautia kwenye flash nizidi kuukosha moyo wangu.
Siuchoki kabisa.
Amen!!
Jamani kaka Slim5,nimeamua tu kusema ukweli.
Mimi bado ni yuleyule bwana.....
Yalaaaaa,wewe mnafiki umeonaje huu uzi?Sawa hatukatai..ila kama ungekuwa fair, basi ulipaswa pia kurudi na kumkubali Magufuli baada ya kumpinga sana kipindi cha kampeni
Hapana kaka,wewe wanijua vyema,huwa siwezi kuuficha ukweli.Umenibadilikia dada. Ahsante. Dhambi sio kumpenda mond, ungempenda na kukaa kimya huko huko usingepungua kitu! kuja huku na promo ndio nini sasa! Nimekumaindi ujue!
Hapana kaka,wewe wanijua vyema,huwa siwezi kuuficha ukweli.
Na hili jambo lilikuwa linanisumbua sana,lakini tokea niliweke wazi nimekuwa na amani.
Halafu sijasema kama nampenda,nimeukubali wimbo wake,rejea maelezo yangu pale juu.
Nisamehe kaka yangu.
Sidhani kama watatia uso hapa ktk uzi huu. Wameshikwa na haya na hasira huko waliko.
Sidhani kama watatia uso hapa ktk uzi huu. Wameshikwa na haya na hasira huko waliko.