Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Asubir video bora utunzi ni Barnaba na kiba mwisho
Kweli,na kwenye video nimependa pale kwenye dinner date,the way anavyotikisa kichwa chake kwa mbwembwe....daaamn!
Suti nyeupe imemtoa sana.
 
Asubir video bora utunzi ni Barnaba na kiba mwisho

Mkuu usitegemee kumuona Diamond anashindanishwa tena, kwenye vituzo uchwara...

Ndio maana hata Nzumari za Kenya hukumuona, alizochukuwa zinatosha itabidi awaachie wenzake yeye akibakia kuwa Godfather kwenye Game
 
Nami naomba niseme Hapa hapa, Ingawa tulikuwa tunatofautia Kiitikadi kule Siasani lakini kwa bandiko Hili nakupa Saluti Nifah na kuanzia leo nakuweka katika Orodha Ya Wenye misimamo mikali na Iliyotukuka.

Daima Ukweli Usemwe hata Kama Utawaumiza Wengine.. Natamani kumuona Wema Akijitokeza na Kuusifia huu Wimbo..

HONGERA NIFAH
 
Nami naomba niseme Hapa hapa, Ingawa tulikuwa tunatofautia Kiitikadi kule Siasani lakini kwa bandiko Hili nakupa Saluti Nifah na kuanzia leo nakuweka katika Orodha Ya Wenye misimamo mikali na Iliyotukuka.

Daima Ukweli Usemwe hata Kama Utawaumiza Wengine.. Natamani kumuona Wema Akijitokeza na Kuusifia huu Wimbo..

HONGERA NIFAH

Mkuu kwani hujamuona wema akiimba wimbo wa Taifa???
https://www.instagram.com/p/_TZEUPKU-x/
https://www.instagram.com/p/_TZEUPKU-x/
https://www.instagram.com/p/_TZEUPKU-x/
 
Nami naomba niseme Hapa hapa, Ingawa tulikuwa tunatofautia Kiitikadi kule Siasani lakini kwa bandiko Hili nakupa Saluti Nifah na kuanzia leo nakuweka katika Orodha Ya Wenye misimamo mikali na Iliyotukuka.

Daima Ukweli Usemwe hata Kama Utawaumiza Wengine.. Natamani kumuona Wema Akijitokeza na Kuusifia huu Wimbo..

HONGERA NIFAH
Mkuu mbona hadi kuuimba ameuimba tayari?
Cheki link alizoweka Kidingi hapo juu uende ukaangalie video.

Asante sana,am humbled!
 
Last edited by a moderator:
pwilo my dear, relax....
Nisome vizuri tena,wala sijaedit hii post tokea nilivyoipost.
Jifunze kusoma post yote kabla ya kucomment.
Nifah wala usijali mimi nilimjibu huyo alie ni tag tu kila mtu na uhuru wake
 
Last edited by a moderator:
nyimbo n haram af unajisifia unasema ukweli ukweli upi huo
shame upon ur face

tooby ila llah faina lmauta qad-hana
 
nyimbo n haram af unajisifia unasema ukweli ukweli upi huo
shame upon ur face

tooby ila llah faina lmauta qad-hana
Kheri yako wewe Maalim tena Khamsa Salawati lakini umeweza kuja kwenye hili jukwaa na kufungua hii thread hadi ukaisoma yote na kuimaliza!!!!!

Nilidhani waumini kama wewe wanasoma Quran tu muda wote kumbe hata mambo kama haya mnasomaga?
Masikini Umat Muhammad unapotea!!!
 
Jamaa kajitahidi ni miongoni mwa nyimbo nzuri za kitanzania...nice
 
Nachelea kusema hujui mziki mzuri,huu wimbo nimeukubali sanaaaa.
Diamond simpendi na hata katika post yangu nimesisitiza hilo.
Baniani mbaya,kiatu chake dawa....
Sifa zake tumpe tu jamani,hatutopungukiwa na chochote kwa kusema ukweli.

Kwahiyo kuukubali mziki wewe ndiyo utuaminishe kuwa wimbo mzr au au sijui ndiyo uchelewe au uchelea kusema wengine hatujui mziki...! Mimi shabiki wa diamond ingawa sina mambo ya team make huwa naona km maujinga fulani but kwa huu wimbo naona unastahili miongoni mwa nyimbo mbovu alizowahi kufanya diamond...!
 
Kwahiyo kuukubali mziki wewe ndiyo utuaminishe kuwa wimbo mzr au au sijui ndiyo uchelewe au uchelea kusema wengine hatujui mziki...! Mimi shabiki wa diamond ingawa sina mambo ya team make huwa naona km maujinga fulani but kwa huu wimbo naona unastahili miongoni mwa nyimbo mbovu alizowahi kufanya diamond...!
Oh,basi kila mtu abaki na lake.
 
watu tuko tofauti kwa kweli

mie huu wimbo sijaupenda kabisaaaaaaaa
 
nyimbo n haram af unajisifia unasema ukweli ukweli upi huo
shame upon ur face

tooby ila llah faina lmauta qad-hana

Unaweza kumiliki simu/computer ya kukufanya uzurure mitandaoni wakati kuna watu hawana hata uhakika kula mlo mmoja kwa siku? usijitie utakatifu, na anasa zako...!!
 
Unaweza kumiliki simu/computer ya kukufanya uzurure mitandaoni wakati kuna watu hawana hata uhakika kula mlo mmoja kwa siku? usijitie utakatifu, na anasa zako...!!
Mtakatifu katika jukwaa la celebrities, hatari sana.
 
nifah achana na huyo kenge. Pleaseee. Lets enjoy the good music. Anakutisha nini labda?
pwilo my dear, relax....
Nisome vizuri tena,wala sijaedit hii post tokea nilivyoipost.
Jifunze kusoma post yote kabla ya kucomment.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.

Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.

Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.

Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.

#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).

Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period

Kwa mfano mond akibadilika na kuacha hako katabia kalikofanya umchukie #JeUtampenda na kurudi team yake ??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom