Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asubir video bora utunzi ni Barnaba na kiba mwisho
Nami naomba niseme Hapa hapa, Ingawa tulikuwa tunatofautia Kiitikadi kule Siasani lakini kwa bandiko Hili nakupa Saluti Nifah na kuanzia leo nakuweka katika Orodha Ya Wenye misimamo mikali na Iliyotukuka.
Daima Ukweli Usemwe hata Kama Utawaumiza Wengine.. Natamani kumuona Wema Akijitokeza na Kuusifia huu Wimbo..
HONGERA NIFAH
Mkuu mbona hadi kuuimba ameuimba tayari?Nami naomba niseme Hapa hapa, Ingawa tulikuwa tunatofautia Kiitikadi kule Siasani lakini kwa bandiko Hili nakupa Saluti Nifah na kuanzia leo nakuweka katika Orodha Ya Wenye misimamo mikali na Iliyotukuka.
Daima Ukweli Usemwe hata Kama Utawaumiza Wengine.. Natamani kumuona Wema Akijitokeza na Kuusifia huu Wimbo..
HONGERA NIFAH
Yani we jamaa una utoto sana sasa wema kuimba ni ubaya mbona video ya domo anacheza mwana bikira wa kisukuma anayo na ndo chanzo cha ugomvi wao baada ya kuweka video ya jokate insta sasa tatizo nini na domo alishawahi kupost anaimba pesa yw mr blue ni feeling tu za mtuMkuu kwani hujamuona wema akiimba wimbo wa Taifa???
https://www.instagram.com/p/_TZEUPKU-x/
https://www.instagram.com/p/_TZEUPKU-x/
https://www.instagram.com/p/_TZEUPKU-x/
Kheri yako wewe Maalim tena Khamsa Salawati lakini umeweza kuja kwenye hili jukwaa na kufungua hii thread hadi ukaisoma yote na kuimaliza!!!!!nyimbo n haram af unajisifia unasema ukweli ukweli upi huo
shame upon ur face
tooby ila llah faina lmauta qad-hana
Nachelea kusema hujui mziki mzuri,huu wimbo nimeukubali sanaaaa.
Diamond simpendi na hata katika post yangu nimesisitiza hilo.
Baniani mbaya,kiatu chake dawa....
Sifa zake tumpe tu jamani,hatutopungukiwa na chochote kwa kusema ukweli.
Oh,basi kila mtu abaki na lake.Kwahiyo kuukubali mziki wewe ndiyo utuaminishe kuwa wimbo mzr au au sijui ndiyo uchelewe au uchelea kusema wengine hatujui mziki...! Mimi shabiki wa diamond ingawa sina mambo ya team make huwa naona km maujinga fulani but kwa huu wimbo naona unastahili miongoni mwa nyimbo mbovu alizowahi kufanya diamond...!
nyimbo n haram af unajisifia unasema ukweli ukweli upi huo
shame upon ur face
tooby ila llah faina lmauta qad-hana
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.
Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.
Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.
Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.
#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).
Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period