Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Asante sana mkuu,sikuiona sababu ya kufa na hili rohoni.
Sijaona hiyo ya Pasco,ngoja nitaitafuta.
 
Last edited by a moderator:
Nifah katika pekua pekua mtandaoni nimekutana na post ya mtu kumdongoa "nifah wa jf", je mambo ya uteam yana maana yoyote kama anatukana vibaya vile au ni wewe mwenyewe katika kujitafutia kiki? samahani kwa umbea wangu
 
PesaNdogo hayo mambo yalikuwepo sana yametulia majuzi tu hapo wakati wa kampeni.
Na bila shaka ni huko kwa Sintah....
Nitake radhi mkuu,sina huo muda kabisa.
 
mmh ndo huyu nifah kweli? au akaunt yake ipo HACKED? haya bado K 4 LIFE nae atoe ushuhuda wake hapa.
 
tangu nione ule wimbo wa kingereza when am not strong, i sell cars..
.. will you honestly love me nkaona hizi pasting hizi jaman ni shidaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…