baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 431
- 310
Nimekusifu diamond kwa kukaa kimya,tukio la fiesta watu walijua utapagawa na kuongea hovyo na media.naamini sasa wamechokoza moto.
Diamond fungua macho maadui zako ni wengi na si Kiba pekee,walijua utawapa kick.ila umeliona na ukawapuuza.safi sana kijana watanzania tunataka ushindani wa ubunifu tu.
Diamond fungua macho maadui zako ni wengi na si Kiba pekee,walijua utawapa kick.ila umeliona na ukawapuuza.safi sana kijana watanzania tunataka ushindani wa ubunifu tu.