Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Huyu jamaa tumpongeze kwa makubwa anayofanya. Tusikosoe na kutoa kasoro kila siku. Tukiona kuna vijana wenzetu wanajituma na kufanya kazi kwa bidii tuwape moyo na kuwapongeza waendelee kufanya makubwa.
Mimi sio mbeya nayajua maisha ya Diamond nayoyaona tu mitandaoni. Kwa ninayoyaona huyu jamaa anastahili pongezi saana.
-Ni Diamond huyu kaweza kuanzisha brand kubwa ya muziki iliyotushinda kwa muda mrefu east afrika.
-Ni Diamond huyu ameweza kututhibitishia kijana anaweza kutoka Tandale akaangaliwa na Africa nzima Trace au channel O.
-Ni Diamond huyu ameweza kuajiri vijana ambao wanatoa shuhuda isingekuwa yeye wangekuwa wanauza dawa mbagala.
Amefanya makubwa saana, yanaweza yasionekane lakini siku akifariki mtayasema yote. Pongezi kwake.
Mimi sio mbeya nayajua maisha ya Diamond nayoyaona tu mitandaoni. Kwa ninayoyaona huyu jamaa anastahili pongezi saana.
-Ni Diamond huyu kaweza kuanzisha brand kubwa ya muziki iliyotushinda kwa muda mrefu east afrika.
-Ni Diamond huyu ameweza kututhibitishia kijana anaweza kutoka Tandale akaangaliwa na Africa nzima Trace au channel O.
-Ni Diamond huyu ameweza kuajiri vijana ambao wanatoa shuhuda isingekuwa yeye wangekuwa wanauza dawa mbagala.
Amefanya makubwa saana, yanaweza yasionekane lakini siku akifariki mtayasema yote. Pongezi kwake.