Hongera Diamond

Hongera Diamond

Nilikuwa naangalia Wasafi TV sijui ni recorded au ni live.

wafanyakazi wake walikuwa wqnampongeza kwenye birthday yake.

Wanavyozungumza unaona licha ya kuwatumia kwenye kazi zake ila amewasaidia.
Wengine nadhani bila Dai wangekuwa wana hali mbaya sana kimaisha. Walionufaika nae wanamuona kama mungu wao vile
 
Huyu jamaa tumpongeze kwa makubwa anayofanya. Tusikosoe na kutoa kasoro kila siku. Tukiona kuna vijana wenzetu wanajituma na kufanya kazi kwa bidii tuwape moyo na kuwapongeza waendelee kufanya makubwa.

Mimi sio mbeya nayajua maisha ya Diamond nayoyaona tu mitandaoni. Kwa ninayoyaona huyu jamaa anastahili pongezi saana.

-Ni Diamond huyu kaweza kuanzisha brand kubwa ya muziki iliyotushinda kwa muda mrefu east afrika.

-Ni Diamond huyu ameweza kututhibitishia kijana anaweza kutoka Tandale akaangaliwa na Africa nzima Trace au channel O.

-Ni Diamond huyu ameweza kuajiri vijana ambao wanatoa shuhuda isingekuwa yeye wangekuwa wanauza dawa mbagala.

Amefanya makubwa saana, yanaweza yasionekane lakini siku akifariki mtayasema yote. Pongezi kwake.
Sijawahi ona mtu akipongezwa ktk level mnayo izungumzia hapa angali akiwa hai. Kwa sasa atapata ndogo ndogo tuu yaan za kawaida tuu.
 
Sijawahi ona mtu akipongezwa ktk level mnayo izungumzia hapa angali akiwa hai. Kwa sasa atapata ndogo ndogo tuu yaan za kawaida tuu.
Kwa hiyo tuache.
 
Kwa hiyo tuache.
Sina maana hiyo, ila watu huwa hatuyapi kipaumbele mambo uliyofanya km bado waendelea kufanya. Ukikoma/acha kufanya ndio tutakupa kongole kwa uliyo yafanya
 
Huyu jamaa tumpongeze kwa makubwa anayofanya. Tusikosoe na kutoa kasoro kila siku. Tukiona kuna vijana wenzetu wanajituma na kufanya kazi kwa bidii tuwape moyo na kuwapongeza waendelee kufanya makubwa.

Mimi sio mbeya nayajua maisha ya Diamond nayoyaona tu mitandaoni. Kwa ninayoyaona huyu jamaa anastahili pongezi saana.

-Ni Diamond huyu kaweza kuanzisha brand kubwa ya muziki iliyotushinda kwa muda mrefu east afrika.

-Ni Diamond huyu ameweza kututhibitishia kijana anaweza kutoka Tandale akaangaliwa na Africa nzima Trace au channel O.

-Ni Diamond huyu ameweza kuajiri vijana ambao wanatoa shuhuda isingekuwa yeye wangekuwa wanauza dawa mbagala.

Amefanya makubwa saana, yanaweza yasionekane lakini siku akifariki mtayasema yote. Pongezi kwake.
umeona alichokifanya Namibia? hope wale wanaosema kachuja they got something to learn!!
 
Kwel kabisa anahitaji pongezi ila subilia wenye team zao waje mbona utafuta huu uzi
 
Hard working pay,kati ya vijana bora walionyesha uwezo mkubwa pasipo elimu daimond na sammata wamefungua milango ya wengine kuamini hongera zao
 
Back
Top Bottom