Zanzibar 2020 Hongera Dkt. Mwinyi panapo nia utaitibu Zanzibar

Anaitibu ZANZIBAR na majeshi yake ya Tanganyika na ya kukodi kutoka Burundi.

Kijana huyo amepigwa risasi ya jicho, anasubiri kupelekwa nje ya nchi kwa matibabuView attachment 1623249

Inasikitisha sana.

Atakayehusika kwa vyovyote katika kufahamiana kokote na azingatie haya kikamilifu:

"Kwa hakika hao wote hawakuumia wala kupotea bure. Wote hao ni muhimu kuwepo katika hadidu rejea za maridhiano."

Ikiwamo fidia stahiki, kuwajibishwa wote waliohusika na uchaguzi kurejelewa.
 
Kumuwajibisha uliemtuma???itakuwa kichekesho cha karne
 
Kumuwajibisha uliemtuma???itakuwa kichekesho cha karne

Hata waliomwua Kashoogi heat ya kitchen ilipofika penyewe waliowatuma walilazimika kuwawajibisha vilivyo.

Hata hivyo tusubiri kupata taarifa rasmi kuhusiana na utayari wa Dk. Mwinyi kufanya lolote la maana.
 


Ingependekeza kama angekuwa amechaguliwa! kibara wa ukoloni wetu wa bara namba moja . Ni bora Tanzania ingekuwa nchi isio na bara wala visiwani
 
Maalim seif na chama chake wakijichanganya kukaa mezani na wauaji na wazurumati safari hii tutarudi mabara barani kushugulika naye, tunasikia kuna offer kapewa!
 
Maalim seif na chama chake wakijichanganya kukaa meza na wauaji na wazurumati safari hii tutarudi mabara barani kushugulika naye, tunasikia kuna offer kapewa!

Wahanga wa sekeseke la uchaguzi hawawezi kupuuzwa na yeyote awaye yote.
 
Wazanzibar wacheni kupoteza muda wenu, uchaguzi umekwisha na CCM hawajaomba muafaka wowote zaidi ya Hussein Mwinyi kusema ataendelea kuenzi makubaliano ya serikali ya mseto ambayo Maalim Seif mwenyewe ndiye aliyekataa kuingia katika serikali ya umoja wa kitaifa mwaka 2015 na nafasi ya makamu wa kwanza wa rais ilibaki wazi kwa miaka yote 5.

Hata sasa hivi akiendelea kukataa hakuna shida yoyote, serikali ya Zanzibar itaendelea na kazi zake kama kawaida, hakuna uchaguzi kurudiwa wala atakayelipwa fidia.
 
Sawa, na akhera pia mje mseme ivyo ivyo siku ikifika.
 
Kwani huyu Mwinyi ni chama gani?!

Kama anataka kuleta maridhiano,Kwanini hakukubali kushindwa na kuungana na Seifu halafu wakaendeleza Maridhiano yaliyoanzishwa Na Karume pamoja na Seifu..!?

CCM ni mashetani,huwezi ukauwa,ukatesa,ukapoteza,ukafunga Halafu unakuja kisema unataka maridhiano

Kama kweli anataka maridhiano ya kweli angeliwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa kisiwani Zanzibar,

wako wafunhwa kama 14 akiwemo Mazrui, waachie huru,na wale waliohusika na uvunjifu wa ubinaadamu wafunguliwe mashtaka

Kama Mwinyi atafanya hayo,atakuwa amedhamiria kuleta maridhiano ya kweli kwa watu wa Zanzibar,other wise, monkey talk, monkey dance

Free Mazrui, and all Political prisoners
 
Shida ya Zanzibar sio maridhiano. Ukweli ni kwamba Zanzibar ni lazima iangaliwe kwa makini ili kuhakikisha haiyumbishwi.
Zanzibar ni sehemu ya Tz na itaendelea kuwa hivyo.
Mwinyi akitaka kukumbukwa aondoe uozo wa ufisadi na ubinafsi uliojikita miongoni mwa walafi wanaouhujumu rasilimali za Zenj.
Huko serikalini mwake mambo ni aibu tupu!
Mshaurini kwa hilo....kuna upuuzi unaitwa MUHALI huku yaani ni ujima (primitivity)
 
Zanzibar ni Nchi huru,iliyoungana na Tanganyika kuunda Muungano wa Tanzania

Mshirika wake Muungano huu yaani Tanganyika inafikiri inaimiliki Zanzibar

Tanganyika imekuwa makoloni wa Zanzibar.. Wazanzibari hawafurukuti wanatakiwa lazima wafate MASHARTI na MATAKWA ya Tanganyika..

Hilo ndilo tatizo la Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…