Hongera Dkt. Tulia. Sasa unatosha kuchukua kijiti 2030

Msomi mzima anamsifia Kiongozi mbovu kwasababu ya njaa,ovyo kabisa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke inatosha sasa.. 2030 turudi tu kwa wababa [emoji23].
 
Msomi mzima anamsifia Kiongozi mbovu kwasababu ya njaa,ovyo kabisa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sasa ivi haya mambo ya kusifia naona yamefika hadi kwa wananchi wa kawaida.

Mtu anahojiwa na media, from no where, ananza kusifia, unabaki kujiuliza sasa huyu anasifia kwa mantiki ipi?

Tunasafari ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…