Hongera Dr Gwajima (Mb) waziri wa jinsia kwa kutatua kero kupitia mitandao usichoke tafadhali

Hongera Dr Gwajima (Mb) waziri wa jinsia kwa kutatua kero kupitia mitandao usichoke tafadhali

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, .......napenda kuchukua nafasi hii kumpa mauwa yake waziri wa jinsia na watoto DR Dorothy Gwajima kwa kutatua kero za mtu mmoja mmoja ikiwemo udhalilishaji au ukatili wa kijinsia na kwa watoto pia.
Dr huyu amekuwa akifanya hivi kupitia account yake ya X zamani twitter ambapo unachotakiwa kufanya ni kumtag kwenye habari yoyote inayohusiana na ukatili wa kijinsia au ukatili dhidi ya watoto.. kinachonipa ujasiri wa kuandika haya ni ukimtag lazima Atokee kwenye reply ya kwanza na kuomba taarifa kamili ya tukio na mahali ilipotokea na pia ameweka namba za simu pia atakuunganisha na wizara ya sheria ambapo utapata msaada wa kisheria buree Mungu akulipe akuongezee..kodi zetu zinazotumika kama mshahara wako hauendi bure..
GH6XI1AXUAA7blM.jpeg.jpg
 
Katika mawaziri ambao sio wa michongo, dada Doro number one. Nampendekeza apewe uwaziri mkuu.
 
Anajitahidi sana anafikika kwa wakati. Hv ukitoa yy kuna waziri yoyote yumo humu!!??
 
Katika mawaziri ambao sio wa michongo, dada Doro number one. Nampendekeza apewe uwaziri mkuu.
Nadhan wanaweza ku compete na Ummy mwalimu aiseee Ummy anapiga kazi sanaa na hana vijembe vya kisiasa vile kudiss wapinzani wala nini yeye ni kazi kazi
 
Nadhan wanaweza ku compete na Ummy mwalimu aiseee Ummy anapiga kazi sanaa na hana vijembe vya kisiasa vile kudiss wapinzani wala nini yeye ni kazi kazi
Ummy anapiga kazi gani NHIF imekufa yupo tu clueless na naibu wake .
Sasa hivi ukifika hospitali dawa nyingi na hudma nyingi zimeondolewa kwenye bima wakati makato kwenye mishahara yako pale pale.
Hebu jipendekeze uende Muhimbili na kadi ya nhif bila pesa uone Moto.
Kwanza ukifika inabidi ukahakiki kadi, mhakiki atakuuliza unataka huduma gani. Kama hiyo huduma imeondolewa nhif utaambiwa ukalipie.
Usije ukajichanganya ukalazwa Kama huna uhueiano mzuri na ndugu watakaokuchangia.
Enzi za dada Doro nilipimwa na MRI Hadi CT SCAN bila kutoa mia.
 
Back
Top Bottom