Hongera Engineer kwa kujihusisha na usajili na kuleta wachezaji wazuri Jangwani!

SIMBA INAFELI SANA KWENYE USAJILI.

Inawacgezaji wengi MIZIGO.

1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Sadio Kanute.
4. Peter Banda.
5. Okra.
6. Sawadogo Ismail.


HAWA NI MZIGO MKUBWA SANA NDANI YA CLABU.
Mijitu hapo inakula salary without working ukimtoa huyo mukenya!


Yaan Banda naye ni mchezaji wa kuisumbua Mameload daaaaa!
 
Ndiyo mafanikio yetu haya kila mwaka. Mbaya zaidi tukipewa hela kiduchu za kufikia hiyo hatua, na mwekezaji wetu naye anazitolea macho.
Umejisahaulisha mara hii kwamba malengo na mafanikio yenu kimataifa msimu huu ilikuwa ni kutinga hatua ya mskundi? Akili mnaziwekaga wapi nyie?

Hii kufika robo tena kwa luzaz ni zaidi ya malengo na mafanikio kwenu. Ni chupri chupri tuu.
 
Lakini huko shirikisho wanaweza fanya maajabu
Kuna maajabu gn kwa luzaz? Hap pyramid unaoogopa kupangwa nao wanawaonea donge simba kwa hatua wanazofika kwenye kombe la wababe. Endelea kujipima na wabovu wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…