Hongera fideline iranga..!!!

Hongera fideline iranga..!!!

acheni kumsema dada wa watu vibaya... :angry:
 
Roselyn kama uko karibu na Fideline naomba mwambie haya ..sijawahi kupenda Make up zake
Kama ameamua kuwa model na lile umbo lake ni vyema akayajua mavazi yake ya kuvaa na kumuwakilisha yeye kwa lile umbo lake .
Ndo maana wengine unaweza kuwa unatangaza ..jeans fulani ,perfume,Kofia or anything
Si kila vazi linalokaa mwilini mengine yanakuwa kituko..
Naomba niombee ajira niwe angalau namfanyia make up ..
Ombi:-😛ainkiller:
Niwe namchagulia nguo zake .......
wanawake na maendelea tufanye kazi tusonge mbeleeeeee.
 
Roselyn kama uko karibu na Fideline naomba mwambie haya ..sijawahi kupenda Make up zake
Kama ameamua kuwa model na lile umbo lake ni vyema akayajua mavazi yake ya kuvaa na kumuwakilisha yeye kwa lile umbo lake .
Ndo maana wengine unaweza kuwa unatangaza ..jeans fulani ,perfume,Kofia or anything
Si kila vazi linalokaa mwilini mengine yanakuwa kituko..
Naomba niombee ajira niwe angalau namfanyia make up ..
Ombi:-😛ainkiller:
Niwe namchagulia nguo zake .......
wanawake na maendelea tufanye kazi tusonge mbeleeeeee.
wewe nani atakulipa mshahara?kama bure sawa inawezekana,ila ka fide jamani miaka ya 2000 kalikua kazuri bana dah,yaani full mvuto kishepu no 8 saafi bila mkwaruzo yaani ukikaona unashiba ghafla unashushia na maji basi,lakini sasa duuh,sijui wajamaa wamekaparamia kifujo fujo mpaka wamevuruga uumbaji wa mnyezi,yaani ni kama nyumba nzuuri iliyopitiwa na greda la halmashauri.kama ni gari hiyo ni ile TZ.
 
Hivi huwa hana nguo zaidi ya hizi nyeusi?
mh. Masanilo they say women always look good in black, nampenda Fideline Iranga coz ni mdada anayejiamini sana na anajikubali the way alivyo no matter what pipo say about her!! keep it up mamy.
 
wewe nani atakulipa mshahara?kama bure sawa inawezekana,ila ka fide jamani miaka ya 2000 kalikua kazuri bana dah,yaani full mvuto kishepu no 8 saafi bila mkwaruzo yaani ukikaona unashiba ghafla unashushia na maji basi,lakini sasa duuh,sijui wajamaa wamekaparamia kifujo fujo mpaka wamevuruga uumbaji wa mnyezi,yaani ni kama nyumba nzuuri iliyopitiwa na greda la halmashauri.kama ni gari hiyo ni ile tz.

watu mna vituko !
 
hahha hhahaha utani mwingine bwana....unazidi mpaka hauchekeshi tena!:rofl:

umekuja kucheka lol
mwombe mod akupe thread ya vichekesho .......huku unapitia unasambaa polen
 
wewe nani atakulipa mshahara?kama bure sawa inawezekana,ila ka fide jamani miaka ya 2000 kalikua kazuri bana dah,yaani full mvuto kishepu no 8 saafi bila mkwaruzo yaani ukikaona unashiba ghafla unashushia na maji basi,lakini sasa duuh,sijui wajamaa wamekaparamia kifujo fujo mpaka wamevuruga uumbaji wa mnyezi,yaani ni kama nyumba nzuuri iliyopitiwa na greda la halmashauri.kama ni gari hiyo ni ile tz.

ngono mbofu mbofu zinazeesha na baya zaidi alifikia stage ya kukubali kupokea tu mananii ya watu hujui
mananii ya mtu amelaaniwa na bibi yake mzaa mama yake mzazi..unafikiri yanaishiaje.....yaan zile nguo jamani
sitanii yule dada mambo ya fasta no comments ameelimika yaan kananii anakainua tu gfla...so msimwone wala kulalamika
sana nguo zake yuko kibiashara zaidi ndio maana nililamika watu kama hawa wanaitajika pale mliman city wanaweza kutupa mwangaza zaidi
wa maisha
 
Roselyn kama uko karibu na Fideline naomba mwambie haya ..sijawahi kupenda Make up zake
Kama ameamua kuwa model na lile umbo lake ni vyema akayajua mavazi yake ya kuvaa na kumuwakilisha yeye kwa lile umbo lake .
Ndo maana wengine unaweza kuwa unatangaza ..jeans fulani ,perfume,Kofia or anything
Si kila vazi linalokaa mwilini mengine yanakuwa kituko..
Naomba niombee ajira niwe angalau namfanyia make up ..
Ombi:-😛ainkiller:
Niwe namchagulia nguo zake .......
wanawake na maendelea tufanye kazi tusonge mbeleeeeee.

simfahamu zaidi ya kumuona kny mitandao na magazeti ila nampendaga,napenda jinsi anavyojicarry jinsi alivyo confident.....anasemwa siku zote na bado utamuona kwenye picha ni mtu wa kutabasamu saa zote!
 
Huyu akimlalia Hashim Lundenga si atamuuwa? John Mashaka inabidi ampishie mbali.

Inabidi apate Wanaume wa Kihaya na wale wote wapenzi wa Bata (samaki hawataki tena).
Zamani:
fideline-iranga-ndani.jpg


Sasa:
18.JPG
Jamaa Udenda
Kingwendu+Kingwendulile.jpg
 
sijakuelewa sikonge,John mashaka ndio anatoka na dada fide au?
 
John Mashaka ampishie mbali na si AMUWACHE. Wangelikuwa pamoja basi ina maana John Mashaka ni kama Reli ambayo na wembamba wake/udogo wake, kila siku yanapita ma Train yameshehena Mzigo na speed kubwa, ile Kireli kipo tu.
 
Ngoja nami nikafanyie marekebisho MEMARTS za kampuni yangu ili niweze kuandaa tuzo za wenye sura mbaya kama Remmy, wenye matonge makubwa kama Marlaw, na waimbaji mateja kama kina Diof! Huwezi amini, nitapata wadhamini, wahudhuriaji na media coverage kama kawaida!

Bongo tambarare!
 
Back
Top Bottom