Hongera Gerald Hando kwa kusimamia weledi kwenye kazi yako. Piga kazi watanzania tunakukubali

Hongera Gerald Hando kwa kusimamia weledi kwenye kazi yako. Piga kazi watanzania tunakukubali

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
NANDY HAWEZI KUMSHAWISHI BINTI YANGU - GERALD HANDO.

Mjadala umeibuka kwenye #MsumariWaMoto kuhusu baadhi ya Wasanii kuoa au kuolewa kuonekana kupoteza ushawishi wao kwa Mashabiki Vijana, mfano mzuri 'The African Princess' Nandy.

King Mende @geraldhando anaamini kitendo cha Nandy kuolewa na kuzaa mtoto kunaweza kumpunguzia ushawishi kwa Vijana.

"Watumiaji wakubwa wa muziki ni Vijana,sasa pale kijana huyu anapotangaza kuwa anaingia katika ndoa, ana asilimia kubwa za kupunguza 'fanbase',hapa katika Ujana ndipo kuna ushawishi mkubwa sana wa kutengeneza wafuasi,Msanii huyu anapoingia katika ndoa basi Vijana hawa wana uwezekano mkubwa wa kumuona kama sio mwenzao tena" Amesema King Mende

Je hii ndio sababu ya baadhi ya Wasanii kuogopa kuoa Au Kuolewa mapema.

Nini Maoni Yako juu ya hili?
20230421_190631.jpg


Ni wazi Gerald Hando ni mmoja wa manguli wa habari hapa Tanzania. Very smart hayumbi kanyooka ndio maana majizo alipomletea mambo meusi akamuachia radio yake na kipindi kufa kabisa.
Sasa ametoa mtazamo wake wa kawaida alafu msanii anataka kumziba mdomo?

Hando kaisema serikali na hata walipomshambulia hajaomba radhi mwenye radio ndio alipiga magoti wewe nandy unajiliza bure Hando ni chuma kweli kweli usitafute huruma kupitia brand ya Wasafi. Tuwaache wanahabari watoe mitazamo yao wewe kama unataka kujibu toa wimbo.

Lakini tuzungumze ukweli nandy baada ya kuolewa mnaona nini kunaendelea wajameni?

Hando piga kazi watanzania tupo na wewe iwe jua iwe mvua.
 
Kwani hando kasemaje
Hando kasema msanii akiingia kwenye ndoa anapoteza ushawishi kwa vijana ambao ndio walaji wakubwa wa muziki. Akataja jina la Nandy basi ikawa kick anataka mpaka akiwapa ubwabwa wabeba camera wa Wasafi apewe airtime wakati anajua uwa inauzwa.
 
View attachment 2595372

Ni wazi Gerald Hando ni mmoja wa manguli wa habari hapa Tanzania. Very smart hayumbi kanyooka ndio maana majizo alipomletea mambo meusi akamuachia radio yake na kipindi kufa kabisa.
Sasa ametoa mtazamo wake wa kawaida alafu msanii anataka kumziba mdomo?

Hando kaisema serikali na hata walipomshambulia hajaomba radhi mwenye radio ndio alipiga magoti wewe nandy unajiliza bure Hando ni chuma kweli kweli usitafute huruma kupitia brand ya Wasafi. Tuwaache wanahabari watoe mitazamo yao wewe kama unataka kujibu toa wimbo.

Lakini tuzungumze ukweli nandy baada ya kuolewa mnaona nini kunaendelea wajameni?

Hando piga kazi watanzania tupo na wewe iwe jua iwe mvua.
Niadje mr Hando
 
Hando kasema msanii akiingia kwenye ndoa anapoteza ushawishi kwa vijana ambao ndio walaji wakubwa wa muziki. Akataja jina la Nandy basi ikawa kick anataka mpaka akiwapa ubwabwa wabeba camera wa Wasafi apewe airtime wakati anajua uwa inauzwa.
Hii ni kwa tz au hadi mamtoni?
 
Hivi Hando ndio alimuacha Majizo au ni Majizo alimsimamisha kazi Hando?

Laiti haya mahaba uliyonayo kwa wasafi ungekuwa nayo shuleni saa hizi ungekuwa mbali Sana mjomba
 
Hivi Hando ndio alimuacha Majizo au ni Majizo alimsimamisha kazi Hando?

Laiti haya mahaba uliyonayo kwa wasafi ungekuwa nayo shuleni saa hizi ungekuwa mbali Sana mjomba
 
Hivi Hando ndio alimuacha Majizo au ni Majizo alimsimamisha kazi Hando?

Laiti haya mahaba uliyonayo kwa wasafi ungekuwa nayo shuleni saa hizi ungekuwa mbali Sana mjomba
Japo majizo alimuachisha kazi mwamba hakuomba msamaha kama maj alivyoomba msamaha wakati uhuru wa maoni upo ndio maana tuna vyombo vya habari
 
View attachment 2595372

Ni wazi Gerald Hando ni mmoja wa manguli wa habari hapa Tanzania. Very smart hayumbi kanyooka ndio maana majizo alipomletea mambo meusi akamuachia radio yake na kipindi kufa kabisa.
Sasa ametoa mtazamo wake wa kawaida alafu msanii anataka kumziba mdomo?

Hando kaisema serikali na hata walipomshambulia hajaomba radhi mwenye radio ndio alipiga magoti wewe nandy unajiliza bure Hando ni chuma kweli kweli usitafute huruma kupitia brand ya Wasafi. Tuwaache wanahabari watoe mitazamo yao wewe kama unataka kujibu toa wimbo.

Lakini tuzungumze ukweli nandy baada ya kuolewa mnaona nini kunaendelea wajameni?

Hando piga kazi watanzania tupo na wewe iwe jua iwe mvua.
Mkuu ulikuwa wapi wakati hando anaomba radhi mubashara baada ya kurudishwa kazini?!!alishindwa kusimamia alichokuwa akikiamini,unacheza na njaa!!amehamia wasafi fm labda kutokana na masilahi,tu,lakini kule Efm alishakuwa ameomba radhi tayari.
 
Hivi Hando ndio alimuacha Majizo au ni Majizo alimsimamisha kazi Hando?

Laiti haya mahaba uliyonayo kwa wasafi ungekuwa nayo shuleni saa hizi ungekuwa mbali Sana mjomba
Majizo kakimbiwa.
 
Back
Top Bottom