Hongera Gerald Hando kwa kusimamia weledi kwenye kazi yako. Piga kazi watanzania tunakukubali

Hongera Gerald Hando kwa kusimamia weledi kwenye kazi yako. Piga kazi watanzania tunakukubali

Umesikiliza alichoongea Hando, au umekrupuka tu na emotion ya bi mdada
Nandy ame-react baada ya kusoma haya maelezo hapa chini yaliyopostiwa kwenye mtandao wa wasafi, na Nandy baada ya kupiga kelele ndiyo wakatuma video ambayo ukiitazama utaona kabisa chumvi imeongezwa na admin wa page ya wasafi.
EEB4FB77-7D77-48C5-BB47-202379E8D63F.jpeg

Je hichi kikichoandikwa hapa ni ustaarabu kweli???
“nandy hawezi kumshawishi binti yangu” by Hando ( hii ni personal attack)

eti badhii ya wasanii wakiolewa wanapoteza ushawishi alafu mfano wanaandika Nandy 😂

Yani litangazaji malaya-malaya na ndevu zake linauliza leading question tena linaleta negative imaginations kuhusu msanii wa kike alafu admin wa chombo husika anaongezea na maneno yake binti kahoji ndiyo wakaweka video ambayo inapishana maneno mengi na maelezo ya admin wao alafu bado tena lawama anapewa nandy.
 
Hando kasema msanii akiingia kwenye ndoa anapoteza ushawishi kwa vijana ambao ndio walaji wakubwa wa muziki. Akataja jina la Nandy basi ikawa kick anataka mpaka akiwapa ubwabwa wabeba camera wa Wasafi apewe airtime wakati anajua uwa inauzwa.
Zuchu anatiwa na boss wake na wanapiga mapicha ya kumzalilisha kila siku je amepoteza ushawishi kwa vijana???
 
Msanii akishaolewa au kuoa anakua hana tena heka heka...

Sababu lazima aheshimu ndoa yake...
 
Yani mwanamke hata asipoolewa bado anakuwa ni kijana tu hata kama umri umekwenda.. au mie ndo sielewi!!
 
Papai rojo unadhani watu hapa Jf ni wacheza kamari wa vijiweni huko Mwandinga??

Next time ufanye research kabla hujatapika hii migebuka iliyochacha.

Kula chuma hicho
View attachment 2595948
Of course Beyonce ni tajiri sana, ila musically sasa hivi yeye ni takataka tu. Hana jipya kwa game. Hii ipo kwa kila msanii, lazima game yako ishuke mwishoni haijalishi unapenda au hupendi.
 
Of course Beyonce ni tajiri sana, ila musically sasa hivi yeye ni takataka tu. Hana jipya kwa game. Hii ipo kwa kila msanii, lazima game yako ishuke mwishoni haijalishi unapenda au hupendi.
Eti beyonce musically ni takataka 😂😂😂


Unadhani beyonce anaishi kwa kutegemea show kama lavalava 😂
 
Eti beyonce musically ni takataka 😂😂😂


Unadhani beyonce anaishi kwa kutegemea show kama lavalava 😂
Aliyesema Beyonce anaishi kwa kutegemea shows nani!? Wewe ulianza kumfahamu Beyonce kwa muziki wake au kwa biashara zake nje ya music!?
 
Nyigu ndio tabia zao ukirusha jiwe jirani wanajihisi kushambuliwa
 
Naona pengo la kitenge kwenye magazeti limezibwa na Masanja kuanzia keo.
 
Back
Top Bottom