From two vidumes not healthy at allYaap!yaap with two kids!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
From two vidumes not healthy at allYaap!yaap with two kids!!!
Ahhahahahahah misa kibokoo kaangusha tembo[emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1] halafu Hamisa mambo yake kimyaaa!!!mnashtuka heee!kumbe hapo ndo nnapompendea ukiwa na mama raha sana!!msiri wako mama yako sio social media hata siku moja!!!
Wanatamani wao ndio wangezaa na daimond ndio imetoka hiyooPuuuu!!kimmbu kimeangusha tembo!
Anafanya mambo makubwa vibaya sema wabongo na chuko zao kwa hamisa lazima wachomwe
Enhee!tatizo Hamisa kuzaa na diamond hiloo ndo shida haswaa!!yaani wameumia utafikiri alioa au labda wamezalishwa wao ila wabongo tulivyo wabaya angezaa na mkongo man tungeshangilia balaaaa!Wanatamani wao ndio wangezaa na daimond ndio imetoka hiyoo
Ndomu zimeisha na hatari ya ukimwi je?Hayo ya kwake!bora kuzaa angetoa angekufaa!!!
Alisema alikuwa anatamani mwanae aolewe na mzunguMbona mama Yake aliwahi kusema hivi karibuni kuwa mwanae ataolewa na Mzungu Kwa kuwa ni mzuri na anashingo nzuri!
Vipi tena Mara ndoto imeyeyuka!
[emoji14][emoji14]
Wanawake bana!
Zari alikuta hamisa na dai wana mahusiano ye ndio aliingiliaHuku akijua kabisa wakati ule Dai anaishi na Zari ,
Misa akakubali kuwa na uhusiano na Dai hadi kuzaa nae,
Akafanya anavyojua hatimae Zari kaondoka Kwa Dai!
Sasa anataka kuingia yeye akaishi na Dai!
Daah [emoji14][emoji14][emoji14]
Wanawake wengine wanaangushana wenyewe Kwa wenyewe !
Je yeye angefanyiwa hivyo angejisikiaje ?!
Mbona yeye aliibiwa baba mtoto wake wa kwanza na Lulu tena mtoto alikua mdogo sanaaHuku akijua kabisa wakati ule Dai anaishi na Zari ,
Misa akakubali kuwa na uhusiano na Dai hadi kuzaa nae,
Akafanya anavyojua hatimae Zari kaondoka Kwa Dai!
Sasa anataka kuingia yeye akaishi na Dai!
Daah [emoji14][emoji14][emoji14]
Wanawake wengine wanaangushana wenyewe Kwa wenyewe !
Je yeye angefanyiwa hivyo angejisikiaje ?!
Nishaonaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeenda IG mange kawapa kubwa wapambe nuksi wote huko IG!kimyaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mange ni shidaaa!ila usiombe mgombane na Mange utatamani ugeuke upepoo!!!!upeperukie huko Pakistan maana looh!si kwa michambo ile!Eti mange kanichekesha daimondkamuacha hadi nyumbu kabaki anafutuka kama kiboko anatamani akumeze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]