Akili za wanawake wa Tanzania hizi...
Ukimsogelea hapo unaona kama layer nne za mapodapoda...
Hasara kweli..
Cant you be nachural!!??
Mngejua kwamba hampendezi na huwa mnakera... Mngeacha haraka.Jamani nyumbani natural hata kwenye event twende midomo mikavu na sura inang’aa vaseline mwanamke urembo mara moja moja unajipodoa haswa
PutiAkili za wanawake wa Tanzania hizi...
Ukimsogelea hapo unaona kama layer nne za mapodapoda...
Hasara kweli..
Cant you be nachural!!??