Hongera Jacob kwa kupambana kwa jasho na damu na kufanikiwa kujenga kasri lako; watu kama ninyi ni vigumu kununulika na watawala

Wakijenga vijana wa CHADEMA wapambanaji.....
Wakijenga CCM wezi.
Msanii akiwa CCM amenunulika akiwa CHADEMA ni smart.

Tunaweza kuwa wapinzani bila kubeza personalities na maisha binafsi ya wengine.
Si kweli kwamba CCM wotte ni wajinga na CHADEMA wote ni werevu.

Kwenye michezo wanasema ili ushinde, mheshimu mpinzani wako !!!
 
Jumba hili hapa ila kumbuka huyu bon yai alishapata kuwa mayor na diwani so as a. Moyar anakuwa na madili makubwa mno

Hvyo yai pekee halitoshi kukupa ghorofa Kama Hilo bill back up ya maana nyuma yake

 
CCM ni wezi , kwanini tunapinga ukweli.
 
Bila tupicha picha wewe ni nzushi🤔
 
Kwani Ally Hapi ni Chadema? Uzi huu nimeleta hapa kuonyesha watu wanavyoweza kuishi nje ya siasa. Lakini pia kuwakumbusha vijana wasiotaka kujiajiri na kufanya kazi wakisubiri uteuzi na uchawa kwamba life haiendi vivyo.....Boni Yai hakuna Mradi amewahi kusimamia akiwa Diwani na Meya uliokuwa na dili.....huyu hana pesa chafu la sivyo JPM angaeruka naye kwa uhujumu uchumi

Haya maisha ya Boni yanawafanya wanasiasa wa aina yake wasiogope kiumbe ndani ya chama wala nje ya chama. Boni ni vigumu kuwa CHAWA wa Mbowe......

Ally Hapi alikuwa CHAWA lakini alipotumbuliwa tu akili ikamtuma ajiweke busy now days waliodhani atapotea wanaona wivu japo yeye kosa lake ana mapato ya wizi na mapato halali.....ana damu za watu aliowatesa akiwa kiongozi hivyo kila akikaa nafsi za watu zinalia juu yake.

Vijana tujisimamie maisha siyo magumu kivile......uchawa unakuondolea utu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…