Pre GE2025 Hongera January Makamba, Waziri mwenye weledi mkubwa sana kuzungumza na kuongea lugha ya Kiingereza

Pre GE2025 Hongera January Makamba, Waziri mwenye weledi mkubwa sana kuzungumza na kuongea lugha ya Kiingereza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unayempamba analaana ya Watanzania ya kujaribu kupinga ujenzi wa Bwawa la JKNHP kwa njia haramu na alipokuwa waziri bado aliendelea kuufisadi ili usikamilike, mara sijui crane hatuna mpaka lutoke nje, mara sijui nini, atajua mwenyewe mara sjui wazuri hawafagi..!

Angalia na wewe usiingie kwenye laana hii kali ya kulaaniwa na Watanzania
Laana alianza kuichuma kule kwao alipolazimisha kupita bila kupingwa ilhali wapinzani walifanyiwa figisu.
Hakuishia hapo. Kuna kipindi alimwambia Samia kwamba anahitaji trilioni tatu ku revive TANESCO. Samia alimshangaa na kumuuliza, trilioni unaijua?
Sasa hivi amekuja na mpango wa kitoto ambao sijawahi kuona hapa duniani. Eti akajenge magorofa yakupangisha nje ya nchi. As if Arusha, TANGA, Dar ,Dodoma na Bumbuli kumejitosheleza nyumba za kupanga.
Bumbuli hakuna gorofa ukiondoa Yale ya hospitali ya mkoloni, halafu MTU anataka akajenge Kinshasa. Guys, there is something very wrong here. Hivi anatuonaje sisi watanzania ambao tuli fanya mtihani wa fomfoo na kuupasua bila nyenzo?
 
Sawa kizungu anakijua, vp utendaji kazi wake...matunda gani aliyokwishafanikisha ambayo ni alama mpaka kufikia sasa hv?!.
Na kama kizungu ni kigezo cha uongozi bora(kwa vigezo vyako) basi mawaziri zaidi ya 50% wasingekuwa hapo walipo leo...Jiwe mwenyewe wala asingekuwa Rais!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu huu ndiyo ukweli na lazima uwekwe wazi na msidai kuwa namfanyia kampeni

Mheshimiwa January Makamba ndiye Waziri anayeimudu lugha ya Kiingereza kwa weledi mkubwa

Sikusudii kumlinganisha na wenzake ila lengo ni kumpa sifa anazostahili kulingana na alichojaaliwa na Mungu

Tizama hutuba zake, pitia anachoandika kupitia kurasa zake za kijamii utathibitisha uwezo mkubwa alionao

Sio kwamba hanazo sifa nyingine, anazo tena sana ila leo naona nitaje sifa moja tu!

Hongera sana Mheshimiwa January Yusuf Makamba, matunda ya elimu yako yanaonekana
He...wewe unataka utukanwe tu pamoja na huyo Marope wako.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu huu ndiyo ukweli na lazima uwekwe wazi na msidai kuwa namfanyia kampeni

Mheshimiwa January Makamba ndiye Waziri anayeimudu lugha ya Kiingereza kwa weledi mkubwa

Sikusudii kumlinganisha na wenzake ila lengo ni kumpa sifa anazostahili kulingana na alichojaaliwa na Mungu

Tizama hutuba zake, pitia anachoandika kupitia kurasa zake za kijamii utathibitisha uwezo mkubwa alionao

Sio kwamba hanazo sifa nyingine, anazo tena sana ila leo naona nitaje sifa moja tu!

Hongera sana Mheshimiwa January Yusuf Makamba, matunda ya elimu yako yanaonekana
Vibaraka lazima wawe vizuri kwenye njia za mabwana zao......house niggas
 
Makamba asidhani watu hawajui Mambo yake?
Watu wanajua hata Yale very private, Ni kumheshimu tu. Sasa na yeye aheshimu watanzania.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu huu ndiyo ukweli na lazima uwekwe wazi na msidai kuwa namfanyia kampeni

Mheshimiwa January Makamba ndiye Waziri anayeimudu lugha ya Kiingereza kwa weledi mkubwa

Sikusudii kumlinganisha na wenzake ila lengo ni kumpa sifa anazostahili kulingana na alichojaaliwa na Mungu

Tizama hutuba zake, pitia anachoandika kupitia kurasa zake za kijamii utathibitisha uwezo mkubwa alionao

Sio kwamba hanazo sifa nyingine, anazo tena sana ila leo naona nitaje sifa moja tu!

Hongera sana Mheshimiwa January Yusuf Makamba, matunda ya elimu yako yanaonekana
Kwa hiyo kwako wewe uzalendo wa Kitanzania ni kuongea kingereza? Viroba vimeshapigwa marufuku kitambo sana mwenzetu wewe ulikuwa na stock kubwa sana unafyonza tu halafu unakuja kuharishia humu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu huu ndiyo ukweli na lazima uwekwe wazi na msidai kuwa namfanyia kampeni

Mheshimiwa January Makamba ndiye Waziri anayeimudu lugha ya Kiingereza kwa weledi mkubwa

Sikusudii kumlinganisha na wenzake ila lengo ni kumpa sifa anazostahili kulingana na alichojaaliwa na Mungu

Tizama hutuba zake, pitia anachoandika kupitia kurasa zake za kijamii utathibitisha uwezo mkubwa alionao

Sio kwamba hanazo sifa nyingine, anazo tena sana ila leo naona nitaje sifa moja tu!

Hongera sana Mheshimiwa January Yusuf Makamba, matunda ya elimu yako yanaonekana
Alikuwa anamshinda Magu kwa kuongea kiingereza?
 
Unayempamba analaana ya Watanzania ya kujaribu kupinga ujenzi wa Bwawa la JKNHP kwa njia haramu na alipokuwa waziri bado aliendelea kuufisadi ili usikamilike, mara sijui crane hatuna mpaka lutoke nje, mara sijui nini, atajua mwenyewe mara sjui wazuri hawafagi..!

Angalia na wewe usiingie kwenye laana hii kali ya kulaaniwa na Watanzania
Siyo kweli hana hiyo laana labda wewe
 
Tz kupinga ushoga ni kazi sana...
Kwa akili hizi, huyu ashindwi kuwa shoga
 
Laana alianza kuichuma kule kwao alipolazimisha kupita bila kupingwa ilhali wapinzani walifanyiwa figisu.
Hakuishia hapo. Kuna kipindi alimwambia Samia kwamba anahitaji trilioni tatu ku revive TANESCO. Samia alimshangaa na kumuuliza, trilioni unaijua?
Sasa hivi amekuja na mpango wa kitoto ambao sijawahi kuona hapa duniani. Eti akajenge magorofa yakupangisha nje ya nchi. As if Arusha, TANGA, Dar ,Dodoma na Bumbuli kumejitosheleza nyumba za kupanga.
Bumbuli hakuna gorofa ukiondoa Yale ya hospitali ya mkoloni, halafu MTU anataka akajenge Kinshasa. Guys, there is something very wrong here. Hivi anatuonaje sisi watanzania ambao tuli fanya mtihani wa fomfoo na kuupasua bila nyenzo?
Hayo uloandika unaushahidi?
 
Sawa kizungu anakijua, vp utendaji kazi wake...matunda gani aliyokwishafanikisha ambayo ni alama mpaka kufikia sasa hv?!.
Na kama kizungu ni kigezo cha uongozi bora(kwa vigezo vyako) basi mawaziri zaidi ya 50% wasingekuwa hapo walipo leo...Jiwe mwenyewe wala asingekuwa Rais!
Soma vema bandiko langu kisha ndiyo uchangie
 
Back
Top Bottom