Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Laana alianza kuichuma kule kwao alipolazimisha kupita bila kupingwa ilhali wapinzani walifanyiwa figisu.Unayempamba analaana ya Watanzania ya kujaribu kupinga ujenzi wa Bwawa la JKNHP kwa njia haramu na alipokuwa waziri bado aliendelea kuufisadi ili usikamilike, mara sijui crane hatuna mpaka lutoke nje, mara sijui nini, atajua mwenyewe mara sjui wazuri hawafagi..!
Angalia na wewe usiingie kwenye laana hii kali ya kulaaniwa na Watanzania
Hakuishia hapo. Kuna kipindi alimwambia Samia kwamba anahitaji trilioni tatu ku revive TANESCO. Samia alimshangaa na kumuuliza, trilioni unaijua?
Sasa hivi amekuja na mpango wa kitoto ambao sijawahi kuona hapa duniani. Eti akajenge magorofa yakupangisha nje ya nchi. As if Arusha, TANGA, Dar ,Dodoma na Bumbuli kumejitosheleza nyumba za kupanga.
Bumbuli hakuna gorofa ukiondoa Yale ya hospitali ya mkoloni, halafu MTU anataka akajenge Kinshasa. Guys, there is something very wrong here. Hivi anatuonaje sisi watanzania ambao tuli fanya mtihani wa fomfoo na kuupasua bila nyenzo?