Pre GE2025 Hongera January Makamba, Waziri mwenye weledi mkubwa sana kuzungumza na kuongea lugha ya Kiingereza

Pre GE2025 Hongera January Makamba, Waziri mwenye weledi mkubwa sana kuzungumza na kuongea lugha ya Kiingereza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nenda Bumbuli , lushoto ukaone jimbo lake kuna vumbi kama kigoma kwa vile hamna barabara , maji ni shida .

Tate Mkuu
Hilo jimbo lote likipigwa lami, na majimbi mengine yakiachwa; mtwasema tena lami imepelekwa Bumbuli kwa Waziri, huku yale majimbo mengine yenye utajiri wa malighafi ya chakula na misitu kama Mufindi na Mlimba yakitelekezwa!!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu huu ndiyo ukweli na lazima uwekwe wazi na msidai kuwa namfanyia kampeni

Mheshimiwa January Makamba ndiye Waziri anayeimudu lugha ya Kiingereza kwa weledi mkubwa

Sikusudii kumlinganisha na wenzake ila lengo ni kumpa sifa anazostahili kulingana na alichojaaliwa na Mungu

Tizama hutuba zake, pitia anachoandika kupitia kurasa zake za kijamii utathibitisha uwezo mkubwa alionao

Sio kwamba hanazo sifa nyingine, anazo tena sana ila leo naona nitaje sifa moja tu!

Hongera sana Mheshimiwa January Yusuf Makamba, matunda ya elimu yako yanaonekana
Tanzania bado sana! Yaani ati Kiongozi anasifiwa kwa kuongea Kiingereza vizuri? Wakati huohuo Rais George Walker Bush wa Marekani alikuwa analaumiwa kwa kutoongea na kutamka maneno ya Kiingereza vizuri!! Tanzania bado sana!
 
Tanzania hata walevi wakilewa huongea Kiingereza. Kwa hiyo English language is not a big deal.

Ila Januari hana management skills ni FAILURE. Kama angeendelea kuwa Waziri wa NISHATI naamini TANESCO wangekuwa wanaendelea na mgawo.

Uteuzi wa Dotto Biteko umeonyesha ni NAMNA gani Januari Makamba yuko overrated na chawa wake. Otherwise ni kiazi mbatata, bila msaada wa kusukumwa na JK anabaki ni Msambaa wa kawaida kama Wassmbaa wengine wa Mlalo, Soni na Bumbuli
Turudi hapa tena
 
Back
Top Bottom