Acha ujanja ujanja, pale Mwanza ukichukua Aerial view, utaona retired jets fighters nyingi sana, hizi ni retired jets fighters.
media zenu wenyewe mara kadhaa wanaonyesha wakiwa kwenye doria Somalia
Huu ndio ujinga wa Kunya Boys, wakati wote wanapenda kujiona wako zaidi ya Tanzania, kumbe ndani wanakiri kuwa JW ni jeshi Kongwe katika Afrika, Suppose you are stronger than Tanzania 100X, Just tell us the number of successful missions engaged, And the reason of failing a very small mission with Alshabab!!!
Hahahaha, ninachojua ni kwamba, Kenya mpo na F-5, hizi ni 2nd generation na zipo 5, zilitenfenezwa 1970s. Tafadhali kanusha na uletee "link" ili tusome.
Do I have to say more?Hahahaha, ninachojua ni kwamba, Kenya mpo na F-5, hizi ni 2nd generation na zipo 5, zilitenfenezwa 1970s. Tafadhali kanusha na uletee "link" ili tusome.
Tunaomba link ulikochukua hii screenshot. Hahahaha.Do I have to say more? View attachment 1243039
Hilo sasa ni swali tofauti, kwanza nilitaka ukubali kwamba TPDF sio level yenu. Kwasababu umekubali, sasa ndio tutazungumza umuhimu wake.
Actually hata Mimi sipendezwi sana na uwekezaji huu mkubwa katika jeshi, ni bora tungeongeza ndege za ATCL kuliko hizi za Jeshi.
View attachment 1242952
View attachment 1242953
I know you don't know how an F15 looks like please have a close look at top right corner of the zoomed image then compare and contrast
Ugandas jetsKenya had to procure the F-15s secretly after Uganda purchased their Sukhoi SU-30, kama hamjui tuulize sisi wenye tunajua
Hahahaha, Hahahaha, HahahahaView attachment 1242952
View attachment 1242953
I know you don't know how an F15 looks like please have a close look at top right corner of the zoomed image then compare and contrast
Siku mkinunua hata "wing" moja ya F-15 huo ndio utakuwa mwisho wa Mimi kuwa hapa JF
Tanzania tulinunua J-20 kwa siri, kama hujui niulize Mimi. Hahahaha, HahahahaKenya had to procure the F-15s secretly after Uganda purchased their Sukhoi SU-30, kama hamjui tuulize sisi wenye tunajua
Kenya siku wakinunua F 15s nadhani hata vipofu watajuaTanzania tulinunua J-20 kwa siri, kama hujui niulize Mimi. Hahahaha, Hahahaha
1) J - 7,
2) 3rd generation jet fighter
3) Maximum speed 2200 Km/h
4) Radar capacity 200Km
5) It can fire lesser guided missiles
6)Model. 2012 (Brand New acquired)
Tunazo 14
Angalia hapo zinapita zikifanya mazoezi. Hahahaha, Hahahaha.
Hahahaha, Hahahaha, baada ya kushindwa lazima utafute sababu ya kujipa matumaini ili upate usingizi. Tusisikie tena mnalinganisha TPDF na ujinga wa KDF.ha ha that Chinese Crap copy of a Mig-21 ???
Its un-proven in combat against any adversary ...
TZ Air Force pilots are poorly trained .... and with very low flight hours...
Tanzania Air force is crap compared to KAF...trust me..usijiaibishe kakaHahahaha, Hahahaha, baada ya kushindwa lazima utafute sababu ya kujipa matumaini ili upate usingizi. Tusisikie tena mnalinganisha TPDF na ujinga wa KDF.