Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hivyo vyuma chakavu ndio unatamba navyo!hizi warship zetu2 mchina mwenyewe ndio anazitumia aina hii hii mpaka sasan,6sema sie hatunaga zile show off za kijeshi km huko kunyaland,iwapo mngekua na meli kama hii 1 tu duniani yote ingejuaFor your information ukanda huu hakuna nchi nyingine yenye coastal defense radar na missiles isipokuwa Kenya .just do a simple Google search of (Ottomat MkI )
50% ya pesa inapotea kwenye rushwa, pesa inayobaki inatumika kugharimia vita Somalia, sisi bajeti yetu yote inatumika kununua vifaa vya kijeshi na mafunzo, hatuna vita, ulitegemea tuweke bajeti kubwa kuzidi ninyi wenye vita?.Kenya leads E. Africa with Sh109bn military budget
Nairobi last year had six aircraft orders, which it expects to be delivered this year.www.businessdailyafrica.com
Our military spending was more than Tz and Uganda combined.Baba yao as usual
50% ya pesa inapotea kwenye rushwa, pesa inayobaki inatumika kugharimia vita Somalia, sisi bajeti yetu yote inatumika kununua vifaa vya kijeshi na mafunzo, hatuna vita, ulitegemea tuweke bajeti kubwa kuzidi ninyi wenye vita?.
Mbona Kenya bajeti yenu ya maendeleo ni kubwa lakini tunawazidi zaidi ya Mara 4 katika miradi ya maendeleo inayotumia pesa ya ndani?, hiyo bajeti yenu kubwa inaenda wapi?
Hahahaha, mbona mliponunua MV Jasiri, japo ni chakavu lakini vyombo vyenu vyote vya habari vilipiga kelele na dunia nzima ilijua na kuona siku ilipofika Mombasa. Iweje hamtaki kutuonyesha hizo ndege wakati hata helicopter moja mkinunua mnatuonyesha?. Hamuwezi kununua hata "wing" moja ya F-16, nchi fukara sana ninyi. Mlitaka kununua "used F-15 toka Jordan, pia mlishindwa kutokana na umasikini.Kenya Air Force May Have Acquired 8 Israeli F-15 Strike Eagles
8 New jets have been acquired and delivered to Kenya. According to a senior officer in the Armed forces ofintelligencebriefs.com
Tembeza basi
Ninajua kwamba wakenya wote wanafahamu kwamba Kenya Air force na Kenya Navy wanatumia vifaa chakavu sana, can't match with TPDF.I can see you have changed tune after I have disciplined you.
Hawa si waliwakimbia wavaa sandals..wakaishia kula buscuitsUlikuwa unataka link na ndiyo nishakuletea[emoji23][emoji23]. On land Kenya is ten times better than Tanzania View attachment 1243768View attachment 1243769View attachment 1243772
Subiri waje na vifaa vyao chakavu, wengine watakuambia kwamba watanzania hawa uwezo wa kutumia hizo missiles.Hivi wakenya mnajielewa kweli. Hebu tuanze kwa hili
BM-30 Smerch
Mnaijua hiyo
View attachment 1243994
View attachment 1243987
Hahaa ati digital radar we unajua unachosema ?Ninyi mlinunua meli za kizamani sana toka Spain, hazina digital radar wala hazina uwezo wa kugundua ndege zinazokuja umbali wa zaidi ya 20Km away. Usilinganishe meli zenu za kizamani na hizi meli zetu mpya na kubwa. Kenya Navy Air force mko very weak, with very old Equipments, huo ndio ukweli japo mnajaribu kuutakataa
Soviet era bullcrapHivi wakenya mnajielewa kweli. Hebu tuanze kwa hili
BM-30 Smerch
Mnaijua hiyo
View attachment 1243994
View attachment 1243987
Hebu tuoneshe (Ballistic missile and SA za kenya)Soviet era bullcrap
Hehehe you are stupid, show us your tanks sio za nchi zingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Show us yours si za nchi zingine
Your navy is currently using vessels that have been retired from the Chinese navy.same case to your aircrafts and we are know how inferior Chinese weapons are.Ninajua kwamba wakenya wote wanafahamu kwamba Kenya Air force na Kenya Navy wanatumia vifaa chakavu sana, can't match with TPDF.
Kijana hebu punguza shobo kwanza kabla ya kuongea fanya research nakupatia mvua ndogo ndogoShow us yours si za nchi zingine