Alshabab kuna hadi waamerika na waingereza,yan kwako imekua ajabu kwa hao watanzania tu!
DuhHahahaha, Hahahaha.
Hakuna jeshi hapo kuna wavuvi tuKwa waliozoea kutazama video za kijeshi za Ulaya, haswa zile aircraft carriers zao na nyambizi (submarines) wanaweza wasione kama kitu chochote cha maana kwenye hii video ya jeshi letu la wanamaji, lakini ukiilinganisha kwenye level ya ukanda huu wote, utaona tuko freshi dhidi ya nyau wote waliotuzunguka.
Njoo PM Nina shida na wewe fasta
Gaidi lenyu hili....ghasia.Njoo PM Nina shida na wewe fasta