Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Have they wiped Alshaabab in Somalia? If no why boasting? TPDF wiped M23 and their alies in DRC hadi mkuu wao akaenda kujisalimisha kwa bwana wake Kagame huko Rwanda, TPDF waliwafanyia kitu mbaya RENAMO huko Mozambique hadi wakasalimu amri.

Ni Tanzania pekee ambayo makaburu enzi zile hawakuweza kuvuka na kuingia katika ukanda wote wa Kusini mwa Afrika pamoja na makaburu kujua kuwa kambi za wapiganaji wa ANC, SACP na SWAPO. Hata Wareno walijpokuwa wanatawala Mozambique. FRELIMO
walipokuwa wakipambana na wapigania uhuru, Wareno walipokuwa wakiwafurusha, jeshi la FRELIMO lilikuwa linakimbilia Tanzania, Wareno walikuwa wanaishia mto Ruvuma na kurudi Msumbiji.

Vv
USA failed. We overpowered shabaab. Kama nyinyi ni wanaume tumeni hao lazy Tanzanian soldiers wakachinjwe na panga
 
Hivi hao waliongia pale Universiry kule Northen Kenya, walikuwa nani kama sio Alshabab? If you have overpowered Alshaabab, why then enter into multi million shillings project building a 700 kilometers ' wall lof 700 kms at the boarder with Somalia?

Vv
USA failed. We overpowered shabaab. Kama nyinyi ni wanaume tumeni hao lazy Tanzanian soldiers wakachinjwe na panga
 
The strongest army in East Africa
tapatalk_1554316364115.jpeg
tapatalk_1554316621458.jpeg
 
You only have four fighter jets to Kenya's 17, who do you think will win? Remember Kenya also have a drone.
Mtalindaje haya magari na hizi meli zenu dhidi ya fighter jets zetu, au dhidi ya Ballistic missiles zetu?
 
Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.
Izo ni silaha za Soviet era..yaani mko ligi moja na Taliban
 
Tutajie hayo maendeleo mliotuzidi mara nne[emoji1787][emoji1787]
50% ya pesa inapotea kwenye rushwa, pesa inayobaki inatumika kugharimia vita Somalia, sisi bajeti yetu yote inatumika kununua vifaa vya kijeshi na mafunzo, hatuna vita, ulitegemea tuweke bajeti kubwa kuzidi ninyi wenye vita?.

Mbona Kenya bajeti yenu ya maendeleo ni kubwa lakini tunawazidi zaidi ya Mara 4 katika miradi ya maendeleo inayotumia pesa ya ndani?, hiyo bajeti yenu kubwa inaenda wapi?
 
Onyesha Surface to Air Missile zenu(SA), otherwise hamuwezi kufukuza ndege zetu ambazo zitakua zinashambulia tanks ZANU na jambo za majeshi yenu ardhini.
By the time hizo jets zinaingia Kenyan airspace zitakuwa zi sha angushwa .Ata kwa dog fight range na speed ya missiles za hizo ndege iko very inferior .Hizi vitu nilikuambia huelewi
 
Back
Top Bottom