Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Zungumzia hivyo vifaa kwanza, onyesheni

1)Ballistic Missile
2)Surface to air Missiles
3)Mobile radar
4)Amphibious tanks
5)Heavy Tanks
6)Light tanks
7)Fighter jets

Mziki mnene sana huu. Tunaweza kuikamata Nairobi within one week.
Mna heavy tanks zipi ?ama type 59 ndo unaita heavy tank wacheni ujinga 🤣🤣 hizo tank zenu ata MD 500 imetosha kumaliza your entire tank battalion.
 
Wameshakubali, wapumzishe kidogo. Wamebaki kupiga domo tupu. Sasa kama nchi haina surface to air missiles, wataweza kuzuia ndege zetu kushambulia kambi za majeshi yao na kuharibu MAGARI na tanks vinavyotembea ardhini?
Nani kakudanganya hivo ?
 
Mna heavy tanks zipi ?ama type 59 ndo unaita heavy tank wacheni ujinga [emoji1787][emoji1787] hizo tank zenu ata MD 500 imetosha kumaliza your entire tank battalion.
Onyesheni zenu basi, Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
5262372_3_jpeg182845aceb39c9e413e28fd549058cf8.jpeg
5262373_4_jpeg9679ccb5a92f650b83fcf29e0a6a6775.jpeg
kenya.jpg
large.jpeg
4973918-3x2-940x627.jpg
Kenyan-Army-Special-Operations-Regiment-SOR-4.jpg
POLICE.jpg
pmdebw4k4upcfu5c40238d6ea61.jpg
e2.jpg
212230_d737820ecee85362bc5be054747bc0c5.jpg
212203_2951ba85d66dea846ae2ef6d2a72732b.jpg
212222_ac20d9f27b7bf3ad34045823d1bc04be (1).jpg

Battle tested and viable!
 
Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.
 
Njia pekee ya kupima nguvu za jeshi ni kupitia vita walivyoshiriki na kuvishinda, ukichukua rekodi za KDF vs TPDF, utajua kwa hakika jeshi imara ni lipi.

Vv
Hawajawahi kupigana vita hata moja, vita ya kwanza ni hii ya Alshabaab, matokeo yake wanauliwa kama wadudu.
 
Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.
Remember Tz only have 30 aircraft while Kenya has 209. Who's is more stronger on air?
 
Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.
Seat back and relax.
Kenya is seven times stronger than Tanzania on air
md_500_mi-35.jpeg
airstrike.jpeg
18446_11.jpeg
1l-image-28.jpeg
 
Have they wiped Alshaabab in Somalia? If no why boasting? TPDF wiped M23 and their alies in DRC hadi mkuu wao akaenda kujisalimisha kwa bwana wake Kagame huko Rwanda, TPDF waliwafanyia kitu mbaya RENAMO huko Mozambique hadi wakasalimu amri.

Ni Tanzania pekee ambayo makaburu enzi zile hawakuweza kuvuka na kuingia katika ukanda wote wa Kusini mwa Afrika pamoja na makaburu kujua kuwa kambi za wapiganaji wa ANC, SACP na SWAPO. Hata Wareno walijpokuwa wanatawala Mozambique. FRELIMO
walipokuwa wakipambana na wapigania uhuru, Wareno walipokuwa wakiwafurusha, jeshi la FRELIMO lilikuwa linakimbilia Tanzania, Wareno walikuwa wanaishia mto Ruvuma na kurudi Msumbiji.

Vv
Don't joke, KDF in action huko Somalia View attachment 1244113
 
Back
Top Bottom