No credibility from the clips above!
Hahahaha, you beat Tanzania?. Hahahaha, Hahahaha, kwa kutumia F-5, 2nd Generation, very old model. Acha kuchekesha watu, wakenya wenzako wanalalamika kwamba hizo ndege zinapa kuwekwa "Museums", wewe bado unataka kulinganisha na Tanzania.Ukitaka tufanye detailed comparison ya Kenya Airforce na Airforce yenu pia tunaweza fanya. We will still beat you hands down.
Which fighter jets do you have?, F-5. Hahahaha, hahahaha. Poleni sana.Kenya Air Force - 209aircrafts
Tanzania Airlines Force - 30 aircraft
Ngoja kidogo kaka yangu. How many fighter jets does Kenya own?, what type?.Tanzania Vs Kenya military power
Kenya. Tanzania
Tanks. 76. 30
Armoured
Vehicles. 591. 150
Aircraft. 209. 30
Tanzania 30 aircraftsWhich fighter jets do you have?, F-5. Hahahaha, hahahaha. Poleni sana.
Zinazopigana ni fighter jets, please, let me know, how many fighter jets do you have?,Tanzania 30 aircrafts
Kenya 209 aircrafts.
That's shows that Kenya is seven times stronger than you [emoji23][emoji23]
Soma wakenya wanavyotoa matusi kutokana na Kuwepo na jeshi dhahifu la Anga. Soma reactions za wakenya katika hii video.Tanzania 30 aircrafts
Kenya 209 aircrafts.
That's shows that Kenya is seven times stronger than you [emoji23][emoji23]
17 fighter jets.Zinazopigana ni fighter jets, please, let me know, how many fighter jets do you have?,
Waleteeeeeeeereed
Kenya is 7 times stronger than Tanzania on air. [emoji23][emoji23][emoji23]Zinazopigana ni fighter jets, please, let me know, how many fighter jets do you have?,
Waleteeeeeeeereed
Naona jamaa ashabadili goalpost kutoka navy sasa ako Airforce.Kenya is 7 times stronger than Tanzania on air. [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona jamaa ashabadili goalpost kutoka navy sasa ako Airforce.
Zama za kubishana kuhusu nani mbabe zilikwishapita. Mnahitaji kuja Tanzania kujifunza uokoaji na pia kujifunza jinsi ya kupambana na Alshabaab. Askari wenu hata ukiwaona wakiwa kwenye doria na zana walizonazo hadi unashangaa, hawa watu wanadhani wanafanya doria ya kukamata vibaka au the warlords? njoo uone doria za JWTZ tunatumia armored fighting vehicles (AFV) . Mnakwenda kupambana na ALshabaabu na AK47 na pickup na trucks, halafu you don't move in formation, you move utadhani msafara wa harusi.
Second kwenye ile manslaughter mliosababisha wa yule mama na mwanae. Ni aibu sana kuona mnakosa preparedness ndogo kiasi kile yaani hadi ile gari inazama several minutes hakukuwa hata na abiria mmoja aliejirusha kwenda kujaribu kuifikia mnapeleka kivuko sijui huyo baharia hajui uzito wa kile kivuko na ukubwa wake unaisukuma ile gari wakati mnazidi kuikaribia. Istoshe kapeleka kile kivuko hadi anataka kuipushi ile gari nashindwa kujua what was the intent maana kaifika lakini there was no plan. Ingekuwa huku kwetu ungeshangaa watu ambavyo wangerukia majini.
Third ile issue ya west gate na ile nyingine yaani huko ndani terrorist wakifyatua unaona huku nje askari wanavyo kimbia hovyo hovyo sio SWAT, sio sijui anti terror squads sio normal military personnel wote unaona wanatoka mbio in front of the camera. Very shame.
Brother ombeni game tunaleta mgambo tu no need kusumbua the highly respected JWTZ army from the country of the braves.
Asante, hiyo poa tutafika huko ila cha msingi ni kujua kwa hawa waliotuzunguka hakuna wa kutututisha, kawaida huwa unaanza kujihami dhidi ya walio karibu nawe, baada ya hapo ndio unawaza kuhusu wale wa mbali.
Usilolijua ni usiku wa giza, Iddi Amini alifanya makosa hayohayo ya dharau.
Dhahama iliyomkuta Ammini uliza watalaamu wa kijeshi wakwambie!!
Tanzania kiulinzi iko vizuri Dogo usijifarague!!
TZ ni habari nyingine kijeshi!!
Usilolijua ni usiku wa giza, Iddi Amini alifanya makosa hayohayo ya dharau.
Dhahama iliyomkuta Ammini uliza watalaamu wa kijeshi wakwambie!!
Tanzania kiulinzi iko vizuri Dogo usijifarague!!
TZ ni habari nyingine kijeshi!!