Its all about pro and cons;
Kwahio kama pesa unayopewa inatosha kukuambia useme nyeusi ndio nyeupe chaguo ni lako, ila kumbuka faida yake ni short term..., ila kama unajua nyeupe kweli ni nyeupe basi hata bila malipo unasimamia kile unachokiamini....
Mara nyingi wasanii ni sauti za watu wa chini, watu wasiokuwa na sauti..., ndio maana mara nyingi wanakuwa upande wa upinzani, sababu asilimia kubwa ya watawala/walio madarakani huwa wanalewa madaraka na kuwasahau watu (na ukiangalia ni vigumu kukosa injustice ya kuongelea) sasa ukitumika kuwaambia watu kwamba hili ni sawa wakati sio sawa au hauna uhakika kama itakuwa sawa basi na wewe unakuwa ni kibaraka wa wenye madaraka....